Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Huyu ni dumeKwahyo hiyo avatar unataka tongozwa pm au
Huyu ni dumeKwahyo hiyo avatar unataka tongozwa pm au
Sasajeee .....mavaveliooooooooooh![]()
![]()
![]()
.. sie tutakula kwa mchuzi wa chuku chuku.
Salama wa salmini...Habari zenu wapendwa...?
Kwahyo hiyo avatar unataka tongozwa pm au
Salama wa salmini...
Mtongozeni tuu.Kwahyo hiyo avatar unataka tongozwa pm au
Masikini pole mdogo wangu, unaumwa nini kipenz changu!?Mimi naumwa sana hofu kwako tu nilikuwa nataka hiyo nyimbo iniliwaze tu mwambie binamu asante nimepata ujumbe wake acha nipambane na hali yangu
Mtongozeni tuu.
Mpaka uwe na acc fb hapohusna muba Shunie Tumosa Tantaw moneytalk
Piteni hapa msome simulizi ya German machine, wanawake wauaji(Mr x) n.k..
Story za bekaboy
Ukidondoka jeShem![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
HayaNimempenda tu huyu mdada namsubir atakayenufuata pm
![]()
![]()
![]()
.. sie tutakula kwa mchuzi wa chuku chuku.
Asante maka yaan ninaumwa mambo mengi tuMasikini pole mdogo wangu, unaumwa nini kipenz changu!?
Mimi naumwa sana hofu kwako tu nilikuwa nataka hiyo nyimbo iniliwaze tu mwambie binamu asante nimepata ujumbe wake acha nipambane na hali yangu
Binamu naomba nyimbo ya yawa hayo mengine mtajuana wenyewe na anko wako huyo ni kidume acha awowe tu mwanaume sio ndg yako naomba nyimbo mm...hali yako pambana nayo wala usimshirikishe anko wangu maana haamini hadi muda huu hujasikia habari zake za kufungishwa ndoa ya kapeti maana mkeka ulikosekana. Kanipigia simu anataka niwe mshenga, nimempa namba ya shululu maana sitaki niwe mdhamana nikosane na wewe
Nilikuwa nakuja hukoUkidondoka je