Bhasi kukaa kumekucha salama na mm leo hii anakusalimia kabisa Staki ata zile salama za anko wangu ....anko kaamshwa salama sema ndo hivo alilala gest baada ya kuchepuka na muuza genge

Mama shikamoo...
Marahaba z uzima..Bless UMama shikamoo...

"Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.” Mithali 13:3.
Bhasi kukaa kumekucha salama na mm leo hii anakusalimia kabisa Staki ata zile salama za anko wangu ....anko kaamshwa salama sema ndo hivo alilala gest baada ya kuchepuka na muuza genge

"Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.” Mithali 13:3.
Asante Mungu kwa Neno lako asubuhi ya leo, Neno lako linafundisha, Neno lako linaonya na Neno lako linakemea, asante kwa sababu umekuwa ukisema nasi mara nyingi sana kwa kupitia Neno lako, tusamehe pale tulipokaidi kulisikia Neno lako. Mara nyingi midomo yetu imetupoza sana na maneno yanayotoka kinywani hayarudi tena, tumeumiza wengi kwa maneno, tumekatisha wengi tamaa kwa maneno na wengine tumewavunja moyo. Mungu wa mbinguni nifundishe kunyamaza pale nisipostahili kusema neno, naomba useme wewe nisije nikakosea kwa maneno ya kinywa changu nikapata uharibifu.
AMEN![]()
Haleluiyab..asante SHIMBA UBARIKIWE SANA ,JIONI NJEMA![]()
Asante mtumishi.

Yohana 14:18-19* 

Binamu shikamoo
*Yohana 14:18-19*
18.Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.
19 .Bado kitambo kidogo na ulimwengu haunioni tena; bali ninyi mnaniona. Na kwa sababu mimi ni hai, ninyi nanyi mtakuwa hai. Amen
NAKUTAKIA USIKU MWEMA UBARIKIWE![]()

