Makapuku Forum

Makapuku Forum

...kwa kweli sijui wanakutafuta nini hawa watu, inabidi ujipange tu maana hawana nia njema na wewe aunty yangu. Ila kaa ukijua siku zote mimi niko upande wako, lije jua ije mvua
Si kweli binamu haupo upande wangu niambie basi nilipokukosea nikuombe msamaha mimi
 
Umeanza eeeeh nyanyua tena mdomo wako nikuonyeshe kazi
tapatalk_1492087126596-jpeg.503773
 
..kuanzia leo siweki tena mambo za anko wangu, nitaanza kuweka za anko wangu mdogo maana huyu mme wako hutaki na nimeacha kumsingizia
Apa naomba alikotekwa anko wako apotee kama ile saa ya nane make ukoo kurithi ni katiba ya ukoo mzima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom