Makapuku Forum

Makapuku Forum

..Husna mpenzi wangu, nitachelewa kidogo, niko kwenye kikao cha kuwapongeza walioteuliwa jana. Natamani ungekuwa hapa lakini utakunywa nini sasa maana viinywaji vilivyopo ni vya walipa kodi, hakuna cha maji wala juice
Huyu husna yupo kwenye kigodoro anko ...naona familia yenu kila mtu na yake urudi usirudii potelea mbali

Najua yule cheupe ashakuteka
 
...sijasema mimi wallah, aunty mimi siwezi kukukosea hishma namna hii. Mambo ya povu kayaleta shemeji yako ambaye mimi ni mjomba wangu.

Ila mimi nakujua kila baya la wao unaniangushia mimi, kisa mimi mnyonge wako
Binamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh
 
...ustaadhaat huyu wewe, usimwone hivyo! Labda nimnyweshe indirectly, si unajua mambo aliyoimbaga Juma Necha kuhusu Sinta "...alipigwa denda mpaka gari ikagoma kwenda, ...vumbi likatimuka abiria hawaoni stend;, si ndo wakanyonyana, ndimi njenje'
 
Huyu husna yupo kwenye kigodoro anko ...naona familia yenu kila mtu na yake urudi usirudii potelea mbali

Najua yule cheupe ashakuteka

...tunatafuta ujuzi nje halafu unaleta nyumbani, tuko kama madiaspora. Sio kma anko mkubwa yeye tu ndo anaenda study tour analeta ujuzi, nitamshauri aunty yangu naye atafute ujuzi toka nchi za kigeni, mfano tu jumuia ya Africa Mashariki, au Uropa basi au hata Marekana, Canada na Mexico
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom