Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Binamu obe nakusalimia tu mimi
Binamu obe nakusalimia tu mimi
Mimi huyu huyu jamaan kwani me nipojeHahaaaa wewe ndo umuache mchepuko bila kumkata ata sikio ?.
Kashazimaa twajibebeaaBinamu obe nakusalimia tu mimi
Binamu obe eti kweliKashazimaa twajibebeaa
![]()
![]()
muda ukienda sana ulale huko huko tu
Kutembea usiku mwingi sio vizuri
Steve katupia kuleNikimfumania namfata alipo nawasalimia nikimaliza namwambia nakusubiri nyumbani uwe na amani zote
Mimi huyu huyu jamaan kwani me nipoje
yaan najenga picha akilin naona bro anakuja na pensi ya ndani tu uku mmoja yule yuko kwa ambulanceNimekupenda bure ...angekuwa shunie anamfata na sungusungu
Sio kweliBinamu obe eti kweli
Apana huyu kinga za nini...ndo maana nakupenda mpenzi wangu, tunaaminiana. Anko kasema uko kwenye kigodoro? Ulikumbuka kubeba kinga? maana kwa mvua hizi zinazoendelea mbu wamekuwa wengi
Na difenda kabisa sipendagi ujinga mie
...ndo maana nakupenda mpenzi wangu, tunaaminiana. Anko kasema uko kwenye kigodoro? Ulikumbuka kubeba kinga? maana kwa mvua hizi zinazoendelea mbu wamekuwa wengi






Namjuaaa ...msafara anauanzishiaa keko machungwa...sio sungusungu tu, angepitia na kikundi cha matarumbeta pale polisi kurasini barracks
Ngoja niendeSteve katupia kule
Ahahahhhh hakuna jamaan me nitawaacha tu![]()
![]()
![]()
yaan najenga picha akilin naona bro anakuja na pensi ya ndani tu uku mmoja yule yuko kwa ambulance
Hili gauni nalijuaa![]()
Aunty yangu akiwaelekeza polisi wapi pa kumpata mume wake, hapo ni njia panda ya kuelekea Moshi
Ewaaaaaaa...sio sungusungu tu, angepitia na kikundi cha matarumbeta pale polisi kurasini barracks
AhahaaaaNamjuaaa ...msafara anauanzishiaa keko machungwa
![]()
Aunty yangu akiwaelekeza polisi wapi pa kumpata mume wake, hapo ni njia panda ya kuelekea Moshi






Uende wapi wewe ..mda wa kumuudumia mme ndo maana anachepukaaNgoja niende