Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sijawaona wapi tena na tumosa jaman me naomba tu niwawekee nitakapoishia ni hapo yaan sasa hivi nitakuwa mvivu kuingia jf yenyewe nimeingia tu hapa mara moja kuwawekea story najua adha ya arosto ya story nimewaonea huruma watu na arosto najua maumivu yake
We endelea mke mweee shemejio atakuwa anawaza kwa sauti wala haongei na ww
 
...nawaangalia tu, niko bia ya tatu, na bado wanapiga taarabu, wakiweka kisanola nitakuja kuwaambia kinachoendelea. kwa sasa nipo na mzigo wa anko umekuja na rafiki yake wanakula kuku tu hapa wa kienyeji , kitu cha foil
Usinambie anko umeovateikiii?

Shikamo na ongeza bia ya 5 bili kwa shunie
 
...nawaangalia tu, niko bia ya tatu, na bado wanapiga taarabu, wakiweka kisanola nitakuja kuwaambia kinachoendelea. kwa sasa nipo na mzigo wa anko umekuja na rafiki yake wanakula kuku tu hapa wa kienyeji , kitu cha foil
Nani alipe aongeze umlipie wewe au ajilipie mwenyewe na we binamu utajua mwenyewe na hiyo mizigo yako
Usinambie anko umeovateikiii?

Shikamo na ongeza bia ya 5 bili kwa shunie
 
Nani alipe aongeze umlipie wewe au ajilipie mwenyewe na we binamu utajua mwenyewe na hiyo mizigo yako

...si bora mimi mizigo yangu hii, kuna Makapuku humu wana mizigo ya dhambi. Nikimalizana ana mizigo yangu, well, mzigo wangu ni mmoja tu, mingine ni ya anko.
1173111_1163225060355450_1280913104_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom