shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nitampa nyumbani hapa Buana napaogopaMama ungempa na kopa lenye macho mekundu na tukiss na maflower![]()

Yaani story zake bila hizo mambo naona anaonaga hazinogiMpendwa wa binamu santeenaona kama kawaida yake mtunzi anaweka mambo yake ya kikubwa anapenda hizi mambo

*KINYWA CHA YESU*
Neno la Uzima
Neno la Faraja
Neno la Hekima
Neno la Maarifa
Neno la Haki
Neno la Hukumu
Neno la Rehema
Neno la Upendo
*Neno la Rehema*
*Neno la Upendo*



Neno zuri huishi. Mungu Aendelee kukubariki mtumishi mwema*KINYWA CHA YESU*
Kinywa cha Yesu kilijawa na
Neno la Uzima
Neno la Faraja
Neno la Hekima
Neno la Maarifa
Neno la Haki
Neno la Hukumu
Neno la Rehema
Neno la Upendo
Katika haya machache neno kuu
Lililo kinywani Mwa Bwana Yesu
Ni maneno mawili tu nayo ni
*Neno la Rehema*
*Neno la Upendo*
Katika maneno haya mawili lililo
Kuu zaidi ni *Upendo* ndilo neno
Lililo jawa ndani ya Mungu Mwana
Neno hili la *Upendo* ni Neno liletalo
Faraja kwa kila amwaminiye Yesu
Kristo kuwa ni Bwana na Mwokozi
Wa Maisha yake.
Ndiyo maana leo watu hukusanyika
Katika nyumba za ibada ili kupata
*Neno la Faraja* kutoka katika
*vinywa vya watumishi wa Mungu*
Najua unahitaji *Neno la Faraja*
Basi usifanye moyo wako kuwa
Kama mgumu, ilihali njia ipo
Ya kupata *Faraja*
Kama ilivyo andikwa
Mathayo 11:28-30
[28]Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
*[29]Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;*
[30]kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
Penda kuwa mwanafunzi wa Yesu
Hudhuria mafundisho ya Yesu
Kila wakati na kila Siku
Nawe utapata raha Nafsini mwako
Na moyo wako uta msifu Bwana.
*Neno la Faraja*






Atume hapahapa kuleeee wap tenaaNatamani kufahamu maendeleo ya hawa watoto umri,wako wapi,wanafanya nini please naomba unisaidie kwa hiliLyon Lee,ukipata nitumie basi kuleeer..Bless you my son
na sisi tujueMama watoto hawa Mungu anazidi kuwaongoza na wote watatu wanaendelea vizuri kwa sababu kwenye social media naona wanazidi kutamba![]()
Mkubwa kwa sasa ana miaka kama sikosei miaka 20 akijulikana kama "Prince " – Michael Joseph Jackson, Jr.,![]()
Ndo kijana wake wa kwanza japo vyanzo vingi vinaonesha kiukweli ameshindwa kuishi maisha ya mziki kama babake...japo anafanya kazi nyingine za entertainments make nakumbuka ashawahi kuhost baadhi ya awards ...
Kwa sasa anasoma business at L.A.’s Loyola Marymount University
Wa pili wa kike akijulikana kama Paris Jackson na huyu ndo inasemekana anaishi maisha halisi ya babake kiukweli ...sauti anaichezea kama baba haswa
Miaka inawezekana wanatofautiana na kaka yake Prince kama mwaka mmoja![]()
Picha juu ni prince akiwa na Paris ..kwenye records za Hollywood yupo sana na anatengeneza pesa za kutosha
Wa mwisho mdogo kabisa ni Blanket Jackson![]()
japo vyanzo vingi vinaonesha huyu mtundu sana, na mkorofi kuliko ndugu zake wote na inasemekana jina la Blanket amelibadirisha kama sikosei Bigi ndo anajiita![]()
Juu dada na mdogo wake .
Kwa kifupi na hayo japo nimeweka hapa sijajua ulimanisha nn uliposema kule![]()
kuleee