Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Yaaan baada ya kutusua mapene ndo mm na Tumosa hutukumbukii
Mm nipo na moneytalk tunakoelekea pazuri
Yaaan baada ya kutusua mapene ndo mm na Tumosa hutukumbukii
Nahisi anakupenda sana yaaani sanaHivi binamu kweli wewe unanipenda
Na me nakusalimia sana kwahiyo mnanipiga majungu asubuhi yote hii na binamu wakoMama D nakusalimia sana
Mapene yameisha kwahiyo moneytalk kamuwacha tetra goma limehamia kwakoYaaan baada ya kutusua mapene ndo mm na Tumosa hutukumbukii
Mm nipo na moneytalk tunakoelekea pazuri
HanipendiiiiiiiNahisi anakupenda sana yaaani sana
Huyu anko shida sanakula mwenyewe mboga ya serikali hivi unanichukuliaje mimi lakini
Hivi binamu kweli wewe unanipenda
Hivi mnazungumzia kuku ganii mbona me kuku wangu yupo na pic huwa natumiwa
labda picha aliitunza kwenye galley ya simu

Mnyamaaaa
Me simtaki jamanHuyu anko shida sana
Lini binamu ulimchana kutokana na tabia zake au ndio huwa unazifurahia...nakupenda mno hadi huwa nagombana na anko wangu. Kwani umesahau unavyoniteteaga nikiwa namchana live kuhusu tabia zake mbovu
Hapana mimi namshangaa kila siku kukusema au alikuja kwako ukamnyima juisiNa me nakusalimia sana kwahiyo mnanipiga majungu asubuhi yote hii na binamu wako

Ongea taratibuu bhasiiiMapene yameisha kwahiyo moneytalk kamuwacha tetra goma limehamia kwako
Hapana jaman kuku wangu anakuja mbona mpo hivyo lakini![]()
![]()
![]()
labda picha aliitunza kwenye galley ya simu
Wewe jidanganye![]()
![]()
![]()
Mimi naona jikaze kuendana nae make huyu anajua kukunyooshaaMe simtaki jaman
Huyo kwangu hata maji simpi atapambana na hali yake binamuHapana mimi namshangaa kila siku kukusema au alikuja kwako ukamnyima juisi![]()
Lini binamu ulimchana kutokana na tabia zake au ndio huwa unazifurahia

Nimeuliza tu mimi na wewe utakuwa kama wengine bongo movie au utakuwa kama mama d na baba dOngea taratibuu bhasiii