shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Imekuwaje mpaka asirudi aisee au umemuuziLee akiwepo utamjua tu bila kuuliza ila sidhani kama atarudi tena jf

Imekuwaje mpaka asirudi aisee au umemuuziLee akiwepo utamjua tu bila kuuliza ila sidhani kama atarudi tena jf

Husna na mpendwa wake na tumosa na shemela shululu ila nakuona na wewe unaelekea kuwa nao muda si mrefu nakuingiza kwenye list

Hakuna kushangaa safari hamna mpe taarifaAisee duh
Walaa me naanzaje kumuuzi harudi tu akijisikia siku kusalimia atasalimia kwa id yangu au ya shemImekuwaje mpaka asirudi aisee au umemuuzi![]()
![]()
Wabaya wangu
Walaa me naanzaje kumuuzi harudi tu akijisikia siku kusalimia atasalimia kwa id yangu au ya shem

Koh Koh Koh Koh Koh KohWalaa me naanzaje kumuuzi harudi tu akijisikia siku kusalimia atasalimia kwa id yangu au ya shem
Nini tena shemela wanguWabaya wangu
Veeep kwani eti mnamdai
Koh Koh Koh Koh Koh Koh
Utanitag akijibuImekuwaje mpaka asirudi aisee au umemuuzi![]()
![]()
Tena wanauliza ?Veeep kwani eti mnamdai
Hapana, uminishitua usiposema harudi tena, baadaye ukasema akirudi atatumia I'd yako au shemeji yakoVeeep kwani eti mnamdai
Waooo wonderful ,Mungu ni mwema sana sana maana wakati wanakua baba akiwepo niliwahi sikia malezi yalikua yabtofauti sana..ukweli Mambo mengi hutokea ili Mungu ajidhihirishe...nimefurahi Lyon..UMETISHA MWANANGU ,NI HABARI SIJAZISIKIA KABISA UBARIKIWE ASANTE SANA KWA MUDA WAKO ...LOVE YOU SONMama watoto hawa Mungu anazidi kuwaongoza na wote watatu wanaendelea vizuri kwa sababu kwenye social media naona wanazidi kutamba![]()
Mkubwa kwa sasa ana miaka kama sikosei miaka 20 akijulikana kama "Prince " – Michael Joseph Jackson, Jr.,![]()
Ndo kijana wake wa kwanza japo vyanzo vingi vinaonesha kiukweli ameshindwa kuishi maisha ya mziki kama babake...japo anafanya kazi nyingine za entertainments make nakumbuka ashawahi kuhost baadhi ya awards ...
Kwa sasa anasoma business at L.A.’s Loyola Marymount University
Wa pili wa kike akijulikana kama Paris Jackson na huyu ndo inasemekana anaishi maisha halisi ya babake kiukweli ...sauti anaichezea kama baba haswa
Miaka inawezekana wanatofautiana na kaka yake Prince kama mwaka mmoja![]()
Picha juu ni prince akiwa na Paris ..kwenye records za Hollywood yupo sana na anatengeneza pesa za kutosha
Wa mwisho mdogo kabisa ni Blanket Jackson![]()
japo vyanzo vingi vinaonesha huyu mtundu sana, na mkorofi kuliko ndugu zake wote na inasemekana jina la Blanket amelibadirisha kama sikosei Bigi ndo anajiita![]()
Juu dada na mdogo wake .
Kwa kifupi na hayo japo nimeweka hapa sijajua ulimanisha nn uliposema kule![]()

Morning mkuu Shululu ubarikiwwMorning all kapuku
Asante sanaTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO kwa udhamini mnono wa dumejeuri
Ubarikiwe sana mkuu Shululu kazi yako ni njema asanteView attachment 615046Asubuhi njema makapuku wote na mwanzo mwema wa wiki
Ubarikiwe Obe siku njema sana asanteAsante shululu kwa magazeti, asante anko Lyon Lee kwa UF, na shukrani BlessedHope kwa maneno ya baraka.
Ninaimani Makapuku wote tulikuwa na wikend nzuri ukiwaweka pembeni mashabiki wa Man United na Liverpool.
Tuwe na asubuhi njema
Ndio kwa sababu id yake haipo tena humu jf ameamua kutokaHapana, uminishitua usiposema harudi tena, baadaye ukasema akirudi atatumia I'd yako au shemeji yako
Ujue umeshakuwa mchocheziUtanitag akijibu
Mama ungempa na kopa lenye macho mekundu na tukiss na maflowerUbarikiwe Obe siku njema sana asantw
