potelea pote.. Liwalo naliwe, kwani ugonjwa ni nini bwana?, mi nataka nimuweke kiganjani kwa mapenzi tu,.. Wacha nikampe tunda langu hata kama lina ugonjwa atajijua mwenyewe"
Kuumbe Huyo hakuwa zaituni,.. Mungu wangu weeee, afu mbaya zaidi ni kwamba inasemekana zainabu ana ugonjwa ila hatujui ni ugonjwa gani,... Na sheby wakati huo anaona chupi ya zainabu inashushwa, yeye anajua ni zaituni ndio anamshushia chupi, kumbe sie... Udenda ulimtoka sheby kila akiina maungo ya zainabu, ila hajui kama ni zainabu,... Zainabu aliiacha chupi katikati ya mapaja yake, kisha akaifuata zipu ya sheby iliokuwa nyepesi kuvuta.... Laaaaaa Haulaaaaa maskini sheby wa watu ndio huyo anakubali kuvuliwa suruali, tena sheby mwenyewe wakati huo ana moto wa kula tunda hilo... Kila akiona chupi ilivyoishia magotini ndio anazidi kupata joto la mapenzi...
Je? Zainabu atakamilisha mpango wake??... Na je? Sheby atagundua vipi kua huyo sio zaituni bali ni zainabu??...