Hapo sasa![]()
![]()
![]()
washatuona tukiambiwa bomberdia tunakuwa mazuzu
Anko shikamoo na taarifa zako nimezipata nazifanyia kaziAsante shululu kwa magazeti, asante anko Lyon Lee kwa UF, na shukrani BlessedHope kwa maneno ya baraka.
Ninaimani Makapuku wote tulikuwa na wikend nzuri ukiwaweka pembeni mashabiki wa Man United na Liverpool.
Tuwe na asubuhi njema
Anko shikamoo na taarifa zako nimezipata nazifanyia kazi
Auntie yako shem wangu mm naona kaadimika baada ya kushinda biko ..ongea na binamu wako vizurii
Na Arsenal Na Chelsea wao jeAsante shululu kwa magazeti, asante anko Lyon Lee kwa UF, na shukrani BlessedHope kwa maneno ya baraka.
Ninaimani Makapuku wote tulikuwa na wikend nzuri ukiwaweka pembeni mashabiki wa Man United na Liverpool.
Tuwe na asubuhi njema
Uko poa ObeAsante shululu kwa magazeti, asante anko Lyon Lee kwa UF, na shukrani BlessedHope kwa maneno ya baraka.
Ninaimani Makapuku wote tulikuwa na wikend nzuri ukiwaweka pembeni mashabiki wa Man United na Liverpool.
Tuwe na asubuhi njema
Sasa hayo mambo ya kuku yameingiaje mbona binamu wako unamfanyia hivo na isitoshe nasikia kuonesha kupendwa kwa aunt yako sangara na sato zinakuja mkabala na kukuAsante anko, ha hahahaha! Kwanza umefanya vizuri kupost wale vijana wa MJ na walipo sasa, mwenyewe nimefurahi na aliyeomba BH kafurahi zaidi.
Aunty yangu hajashinda biko sema yule kuku aliyekuwa aje kwake alipotezwa njiani akaelekea kusikojulikana. Shunie , nakusalimia aunty yangu unayependwa na familia nzima na hasa mimi ninayekujali na kupambana na anko akicheza na moyo wako
Uko poa Obe
Na Arsenal Na Chelsea wao je
Sasa hayo mambo ya kuku yameingiaje mbona binamu wako unamfanyia hivo na isitoshe nasikia kuonesha kupendwa kwa aunt yako sangara na sato zinakuja mkabala na kuku
Hivi alishindwa kuchukua kuku wawili kila mmoja akapata anachostahili ?.....ha hahaha, aunty yangu kuku ndo aliahidiwa lakini kutokana na sababu zilizo ndani yauwezo wa mjomba wangu kuku akapotea panapojulikana.
Hao sangara na sato nina mashaka. itabidi tu aunty yangu Shunie ajilie mboga ya serikali ambayo tunaambiwa ina kila kitu kinachohitajika na mwili, maharage.
Nitamletea mahindi yaliyokobolewa atengeneze kande
Mama D nakusalimia sanaMpendwa wa binamu santeenaona kama kawaida yake mtunzi anaweka mambo yake ya kikubwa anapenda hizi mambo
Anko shikamoo na taarifa zako nimezipata nazifanyia kazi
Auntie yako shem wangu mm naona kaadimika baada ya kushinda biko ..ongea na binamu wako vizurii





Hivi binamu kweli wewe unanipendaAsante anko, ha hahahaha! Kwanza umefanya vizuri kupost wale vijana wa MJ na walipo sasa, mwenyewe nimefurahi na aliyeomba BH kafurahi zaidi.
Aunty yangu hajashinda biko sema yule kuku aliyekuwa aje kwake alipotezwa njiani akaelekea kusikojulikana. Shunie , nakusalimia aunty yangu unayependwa na familia nzima na hasa mimi ninayekujali na kupambana na anko akicheza na moyo wako
Sasa hayo mambo ya kuku yameingiaje mbona binamu wako unamfanyia hivo na isitoshe nasikia kuonesha kupendwa kwa aunt yako sangara na sato zinakuja mkabala na kuku









kula mwenyewe mboga ya serikali hivi unanichukuliaje mimi lakini
.....ha hahaha, aunty yangu kuku ndo aliahidiwa lakini kutokana na sababu zilizo ndani yauwezo wa mjomba wangu kuku akapotea panapojulikana.
Hao sangara na sato nina mashaka. itabidi tu aunty yangu Shunie ajilie mboga ya serikali ambayo tunaambiwa ina kila kitu kinachohitajika na mwili, maharage.
Nitamletea mahindi yaliyokobolewa atengeneze kande
Hivi mnazungumzia kuku ganii mbona me kuku wangu yupo na pic huwa natumiwaHivi alishindwa kuchukua kuku wawili kila mmoja akapata anachostahili ?