Makapuku Forum

Makapuku Forum

07836026f008e38ee2c151bba78dec52.jpg
 
*TUOMBE*
ASANTE BWANA MUNGU WETU KWA KUTUFIKISHA SIKU HII YA LEO. TUNAOMBA UZIDI KUWA PAMOJA NASI, NENO LAKO NI TAA TUNAOMBA LIMULIKIE MAISHA YETU, TAIFA, SAFARI, ELIMU, BIASHARA, AJIRA AFYA, HUDUMA, MALENGO NA OFISI ZETU.
TUNAKUSHUKURU MUNGU MAANA UNATENDA NI KATIKA JINA LA YESU
TUNAOMBA AMINA.

MBARIKIWE
 
Muwe na usiku mwema wapendwa.

MUHIMU:

>> mshukuru MUNGU kwa ajili ya siku nzima kwa kukupa kibali ya kufika muda huu.
>> mwombe akulinde usiku huu ili kesho uweze kuamka ukiwa na afya njema na uweze kuendelea na majukumu yako
>> ombea TANZANIA YETU na serikali yetu kwa ujumla.

MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI, AKULINDE, AKUTUNZE na AKUFUNGULIE MILANGO YA BARAKA. AMINA
Amen Glory to God asante sana
 
Zaburi 137

7 Ee BWANA, uwakumbuke wana wa Edomu, Siku ya Yerusalemu. Waliosema, Bomoeni! Bomoeni hata misingini!

8 Ee binti Babeli, uliye karibu na kuangamia, Heri atakayekupatiliza, ulivyotupatiliza sisi.

9 Heri yeye atakayewakamata wadogo wako, Na kuwaseta wao juu ya mwamba.


SIKU NJEMA.
 
Morning family:

ZABURI 27

4.Neno Moja nimelitaka kwa BWANA,Nalo ndilo nitakalolitafuta,Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu,Niutazame uzuri wa BWANA,Na kutafakari hekaluni mwake."

TAFUTA NENO MOJA KWA BABA ATAKUJIBU
 
*TUOMBE*
ASANTE BWANA MUNGU WETU KWA KUTUFIKISHA SIKU HII YA LEO. TUNAOMBA UZIDI KUWA PAMOJA NASI, NENO LAKO NI TAA TUNAOMBA LIMULIKIE MAISHA YETU, TAIFA, SAFARI, ELIMU, BIASHARA, AJIRA AFYA, HUDUMA, MALENGO NA OFISI ZETU.
TUNAKUSHUKURU MUNGU MAANA UNATENDA NI KATIKA JINA LA YESU
TUNAOMBA AMINA.

MBARIKIWE
Asante mama ubarikiwe
 
*TUOMBE*
ASANTE BWANA MUNGU WETU KWA KUTUFIKISHA SIKU HII YA LEO. TUNAOMBA UZIDI KUWA PAMOJA NASI, NENO LAKO NI TAA TUNAOMBA LIMULIKIE MAISHA YETU, TAIFA, SAFARI, ELIMU, BIASHARA, AJIRA AFYA, HUDUMA, MALENGO NA OFISI ZETU.
TUNAKUSHUKURU MUNGU MAANA UNATENDA NI KATIKA JINA LA YESU
TUNAOMBA AMINA.

MBARIKIWE
Amen,barikiwa pia mpendwa
 
Natamani kufahamu maendeleo ya hawa watoto umri,wako wapi,wanafanya nini please naomba unisaidie kwa hiliLyon Lee,ukipata nitumie basi kuleeer..Bless you my son
Mama watoto hawa Mungu anazidi kuwaongoza na wote watatu wanaendelea vizuri kwa sababu kwenye social media naona wanazidi kutamba
98b0471cb16d7e6eea8f0b446638d023.jpg


Mkubwa kwa sasa ana miaka kama sikosei miaka 20 akijulikana kama "Prince " – Michael Joseph Jackson, Jr.,
02c8c1835e25a27b2462d79ddc6ee264.jpg

Ndo kijana wake wa kwanza japo vyanzo vingi vinaonesha kiukweli ameshindwa kuishi maisha ya mziki kama babake...japo anafanya kazi nyingine za entertainments make nakumbuka ashawahi kuhost baadhi ya awards ...
Kwa sasa anasoma business at L.A.’s Loyola Marymount University

Wa pili wa kike akijulikana kama Paris Jackson na huyu ndo inasemekana anaishi maisha halisi ya babake kiukweli ...sauti anaichezea kama baba haswa

Miaka inawezekana wanatofautiana na kaka yake Prince kama mwaka mmoja
9b3476c05b4f65de220ba95918e7241b.jpg


Picha juu ni prince akiwa na Paris ..kwenye records za Hollywood yupo sana na anatengeneza pesa za kutosha

Wa mwisho mdogo kabisa ni Blanket Jackson
1862a87ee7e9098e5121203d4dcfae53.jpg

japo vyanzo vingi vinaonesha huyu mtundu sana, na mkorofi kuliko ndugu zake wote na inasemekana jina la Blanket amelibadirisha kama sikosei Bigi ndo anajiita
6ff3b815187590ba3b964390a93a6d1e.jpg


Juu dada na mdogo wake .

Kwa kifupi na hayo japo nimeweka hapa sijajua ulimanisha nn uliposema kule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom