Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nakuona ujue unafurahia tu hizi mambo za binamu yako anavyonikosesha raha
hapana mama D
Nakuona ujue unafurahia tu hizi mambo za binamu yako anavyonikosesha raha
hapana mama DShemela za kwakoHivi binamu kweli wewe unanipenda
Na ndio natoka mimiBora usingelikujaaa
Hapana binamu wewe ujue unasabaisha nisiishi kwa amani jamani kila siku hizi mambo nina moyo mimi
Na me nakusalimia sana kwahiyo mnanipiga majungu asubuhi yote hii na binamu wako

Unafurahia sana nakuacha n binamu yako![]()
![]()
![]()
hapana mama D
kama wewe na kuku na kwa taarifa kuku anko obe ndo alimpeleka kwinginePambana na hali yako
Safi shemela wangu mimi za wewe eti shemela na wewe unanipiga majungu kuhusu kuku wangu kutokujaShemela za kwako
Mama D mwanamke wa shoka atapambana na hali yakeeeHa hahahaahaha, kuku kuchi anakuja mwakani na picha inabidi aitunze asije akaletewa kuku mwenye mdondo
Binamu jamanHa hahahaahaha, kuku kuchi anakuja mwakani na picha inabidi aitunze asije akaletewa kuku mwenye mdondo
Huyo sio kuku wangu jaman wa kwangu kila siku namuonakama wewe na kuku na kwa taarifa kuku anko obe ndo alimpeleka kwingine
SawaaaaaMama D mwanamke wa shoka atapambana na hali yakeee
sasa anko kuku yupo kweli kwa anko wako au ndo lisemwalo lipo kama halipo linakuja ?
NdioKwahiyo na shemela shululu naye ameingia kwenye kunipiga majungu
Kuku wangu na samaki zinakuja hivi binamu una nini lakiniii..kuku hayupo jamani, au hadi nitume picha kuonesha kuku hayupo? Na waziri wa uvuvi kakataza kuvua sangara na sato, karuhusu kuvua nguo zako mwenyewe au kumvua mwenzako.
aunty yangu asubiri anko adownload picha za sato na sangara atumiwe, ukijumlisha atakuwa na picha hizi, tatu, ya kuku kuchi, sangara na sato
Kwa hiyo nizime simu na mimiUnafurahia sana nakuacha n binamu yako
Shemela shululu eti ni kweliNdio
Insta live auHuyo sio kuku wangu jaman wa kwangu kila siku namuona