Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nimefurahi mimi jaman
wakati leo nimeamshwa make jana ata gd 9t hakuionaa
Nimefurahi mimi jaman
wakati leo nimeamshwa make jana ata gd 9t hakuionaaHuyo kwangu hata maji simpi atapambana na hali yake binamu
sasa anko kuku yupo kweli kwa anko wako au ndo lisemwalo lipo kama halipo linakuja ?..kwa kweli anko wangu ni shida, yaani anaahidi kuku, tena anaipiga na picha.
Anko ni shida, anti yangu anamtumia picha ile makinikia inatumiwa video clip, hii ni haki kweli?
Hapana jaman kuku wangu anakuja mbona mpo hivyo lakini
Wapiii alipopelekwa labda sio kuku wangu ninayemjua kuku wangu yupoSasa anko mbona anadai alipelekwa pengine?
Mm sitaki kujua mengine ila kuku wangu anakuja jaman..kwa kweli anko wangu ni shida, yaani anaahidi kuku, tena anaipiga na picha.
Anko ni shida, anti yangu anamtumia picha ile makinikia inatumiwa video clip, hii ni haki kweli?
Muonee huruma auntie yako...utasubiri sana. pambana tu na hali yako. Labda uichinje picha ya kuku uliyotumiwa.
Na hivi picha hujapewa negative ndo basi tena ukiipoteza huna ushahidi

Yupo ndiooWapiii alipopelekwa labda sio kuku wangu ninayemjua kuku wangu yupo
Unajiskia rahaaa![]()
![]()
![]()
![]()
wakati leo nimeamshwa make jana ata gd 9t hakuionaa
Vyote sitakupa binamu..., huwa nakunywa bia kupunguza ukosefu wa maji. Na huwa nikija kwako hupendi kunipa maji, unanipa bia
Raha wapiii vutuguu tupuuuUnajiskia rahaaa
Hapana mimi namshangaa kila siku kukusema au alikuja kwako ukamnyima juisi![]()
...utasubiri sana. pambana tu na hali yako. Labda uichinje picha ya kuku uliyotumiwa.
Na hivi picha hujapewa negative ndo basi tena ukiipoteza huna ushahidi









Nakuona ujue unafurahia tu hizi mambo za binamu yako anavyonikosesha rahaMuonee huruma auntie yako![]()
![]()
![]()
Na anakujaYupo ndioo
..hata mimi nashangaa, yaani Shululu na anko mdogo hawana raha kabisa tangu aunty yangu atumiwe picha ya kuku, tena picha ya kuku kuchi. wanaumia sana wanabaki kumpiga majungu aunty yangu. Vibaya hivyo jama, jana ilikuwa jpili

Pambana na hali yakoRaha wapiii vutuguu tupuuu
Asante ..acha kuku azidii kukua ata mwakan atakuwa ashakuwa kama mbuzi
Bora usingelikujaaa
Kwahiyo na shemela shululu naye ameingia kwenye kunipiga majungu..hata mimi nashangaa, yaani Shululu na anko mdogo hawana raha kabisa tangu aunty yangu atumiwe picha ya kuku, tena picha ya kuku kuchi. wanaumia sana wanabaki kumpiga majungu aunty yangu. Vibaya hivyo jama, jana ilikuwa jpili