Makapuku Forum

Makapuku Forum

*TUOMBE*
Tunakushukuru Mungu kwa kutufikisha siku hii ya leo. Tunaomba Moyo wa shukrani tuje mbele zako kwa sadaka,sifa na shukrani. Tunamkataa shetani na kazi zake zote kwa Moto wa Roho Mtakatifu . Tunaombea wote wenye mahitaji mbalimbali. Kutana na haja ya kila mmoja mmoja pamoja na familia zetu . Ni katika Jina la Yesu tumeomba tukiamini na kushukuru Amina.

SIKU NJEMA MBARIKIWE
 
Wasichana au wavulana kidedea darasa la saba mbona wanapisha hawa waandishi?au mm ndio sielewi
05b5e6dc3baea1580c259f246ff1f2c9.jpg

1291f7b57aca96ad4c9e67dda513e38e.jpg
 
Hapo wameshagombana kuhusu zamu ya usafi na kuosha vyombo, wamechongoa midomo yao kama chuchunge au kama wanyakyusa wanajiandaa kusema tununu.. halaf ndio uwaambie wapande juu wakarekebishe antena, hilo nongwa lake sasa
Ukisema zungusha kushoto wao wanapeleka kulia, ukiwaambia hapo hapo, wao wanaendelea kuzungusha.. unaweza kukuta unawaambia zungusha zungusha kumbe hawazungushi.. ukinyata vizur unawakuta wamekaa pemben hawazungushi ila wanajidai kukuongelesha, hapo je, tungulushie wapi!!?
Hahahhah umenikumbusha dada alikua pasua kichwa
 
*TUOMBE*
Tunakushukuru Mungu kwa kutufikisha siku hii ya leo. Tunaomba Moyo wa shukrani tuje mbele zako kwa sadaka,sifa na shukrani. Tunamkataa shetani na kazi zake zote kwa Moto wa Roho Mtakatifu . Tunaombea wote wenye mahitaji mbalimbali. Kutana na haja ya kila mmoja mmoja pamoja na familia zetu . Ni katika Jina la Yesu tumeomba tukiamini na kushukuru Amina.

SIKU NJEMA MBARIKIWE
Amina mama kipenzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom