Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Jembe hiliii
Jembe hiliii
Alafu polar unanywea kwenye vidondoo vya OMO vile..Kichwani ushaweka mawazo ya top layer au ukute hiyo alhamis kuna kitu cha nyaliiiii na matunda![]()
![]()
![]()
Shulee rahaa broo


Ndo zilikuwa zanguuAlafu polar unanywea kwenye vidondoo vya OMO vile..
Yaani mtu ametumia sabuni ya Unga imeisha..
Sasa lile dude ndio la kuwekea polar![]()
Hahahaa...Ndo zilikuwa zanguu![]()
![]()
![]()
![]()
Polar linagongwaa mpaka raha uku mkononi una kitu twooo fifty....
Sijuii hii ulikumbana nayo? Zamu ya kudishi na kuosha dishHahahaa...
Hatareee!
OlevelSijuii hii ulikumbana nayo? Zamu ya kudishi na kuosha dish
Disher



YaaapOlevel
Ilikuwa weww unaepakuwa chakula ndio unabaki na Dish la kuosha.
Sasa hapo obvious lazima ubaki na msosi wa maaana
Ila madish watu waliyopenda ni dish la:
1. Wali
2. Maharage
3. Nyama
4. Pilau
Dish la kande na ugali halikuwa na wapiganiaji wala.![]()
Aaah!Yaaap
Ila mda mwingine unakuja mida ya polar tu kwa tuliokuwa off campus


Upweke me shem wangu huyo namuondoleaje upoje hivi njo shem wangu akuchukue uwe mke mwenza

Ndo maana nimeshibaaa shemu
Niachie moneytalk wangu jamaniii
na tetra je
MmhThe hairless chimpanzee known as Louie.
![]()
Mimi sipo hapo ujue...![]()
Obe mzer wa barukutu
Ndo nani sasa![]()
na tetra je
![]()