Makapuku Forum

Kwan nkilala ndo schati au
Duh.. haya sawa hatupaswi kuingilia mambo ya ndani, ila ni vizur ukiwa na mzee kwa bed ukaacha mambo mengine, kitandan sio pahala pa kwichi kwichi tu na kulala, ni mahala pa kuyajenga yenu, kuzungumza, kulitia penzi nakshi nkshi, kupanga mipango yenu, kujua siku imeendaje, taarifa za hapa na pale na kadhalika..

Nsamehe km nimekosea shemela.
 
nilivyosikia vimetosha my love

Ujue Leo hujaniandikia kule



Husobe
 
OK tumia salama condom kila wakati
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…