makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,935
- 104,262
Kwani mie nimesema umekeketwa.. naanzaje kwa mfanoMe sijakeketwa jamanmpoje nyie
Kwani mie nimesema umekeketwa.. naanzaje kwa mfanoMe sijakeketwa jamanmpoje nyie
Alhamdulillah! Mie sijambo pia mpendwa.Mie Sijambo....
Vipi wewe hali yako
Wewe, hata uniambie mchanga mtamu nalamba..Maka kwa nini waitane kibabe babe uwongo wanaongopeana tu raha ya kuitwa babe kuchunguliana na kulana ujue nakukubali sana na mimi
Nifundishe huko kucheka vizur..Chekaga vizuri banaa
Kigamboni kwa nani!?endelea kumdanganya baba wangu binamu halaf safari ya kigamboni imekwiva
Muziki: Viporo
U khali gani Kapuku mheshimika, leo ni Jumamosi na kesho ni Jumapili, nakukumbusha tu maana wengine haya mambo ya kuzijua siku si muhimu. Binafsi nimekuwa na wakati mzuri leo hasa baada ya mazoezi na kisha kufuatilia mambo ya soka. Sitaki kukuuliza wewe ulifanya nini, maana wikend ina mengi, kuanzia kutumika kimwili hadi kubet, na asikwambie mtu wote wanaobet walishaliwa.
Nimekumbuka kitu leo na nikafurahi nikaona kama mimi nilifurahi nawe unaweza kukifahamu na hulazimiki kufurahi maana kinaweza kukukumbusha uliyosahau. na si unajua uhuru uko kwenye kusahau, hebu fikiria kama tungekuwa hatusahau? Sisi wenye vitambi vya kawaida ungetuonea wapi, vitambi vya kawaida maana yake ni vitambi vile una uhakika wa kula kiporo asubuhi kwani usiku wa jana ulikula kitu fresh na hudaiwidaiwi na kama kiporo kimechacha yaani kiko kwenye siku zake basi jua kuwa kuna chumvi za kichina zinakata ukiporo.
Muziki sasa, leo ni zamani kidogo, yes, hakuna kiporo cha leo na ndo maana bora kuungana na makaveli10 asiyetaka mambo ya kununua kitu orijino, unaenda kwa kitu kilichotumika maana hapo unakuwa na uhakika wa ubora
We unakwenda wapi.. ukuje hapa
Hata gololi haipiti!?Dogo kabisa, mtoto mbichiiii
Nasi twakupenda pia.Niwatakie usiku mwema na nawapenda sana
Nipo mt VP inakuwajeekwel mnafanana, upo lakini bi mdashi
Miss you too my wifiiii![]()
![]()
![]()
![]()
michi uu

Hata mm nimependa hapo hapo tuWoyooooooooooo nimependa kwenye siku tutakayoonana tu mama

MhBinamu asante sana ila sijapenda tabia yako
Kwa mama mchuchuKigamboni kwa nani!?
We mbona hujawahi kutuekea picha yako na baba d mkikulana?!Weka picha tuamini kama mnakulana![]()
