Makapuku Forum

Makapuku Forum

Teh teh teh.. kwahyo we unasema watu walane kiukweli.. haya sawa mie naanzaje kukupinga ndugu yangu.. katika watu nnaowakubali na kuwaamin we wa kwanza.. hata ukiniambia mchanga ni mtamu, mie nalamba
Maka kwa nini waitane kibabe babe uwongo wanaongopeana tu raha ya kuitwa babe kuchunguliana na kulana ujue nakukubali sana na mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom