Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Sio andeniii ??akamfate kinyerezi sijui kibaha
Sio andeniii ??akamfate kinyerezi sijui kibaha
Ahahhaha kule milimani kwetu lushoto huko nahisi huwa anaenda kikazi huku kibaha na kinyerezi ndio aende kumtafutaSio andeniii ??
Na kanyigoAhahhaha kule milimani kwetu lushoto huko nahisi huwa anaenda kikazi huku kibaha na kinyerezi ndio aende kumtafuta
Mimi ndio![]()
![]()
![]()
yani wewe

Amsubirie akiwa online hapakweli baba d sasa ataanzia wapi kumtafuta
Nko poa mm mke mweee,ila unachotafuta utakipataMama jj mwenyewe mama wa watoto pacha wa insta mambo yako shemela wangu shululu ni vipi anaendeleaje mwambie nammiss tu
Unafukuaa tuMimi ndio![]()
Kwahiyo hutaki tugonge eeenh ebu skip banaNawaonaa baba d na mama d mnagonga like kwenye viporo navyokulaa
Maka kauliza walipo Husna na Madame Sna we katekwe jaman mke mwee au hupendi kutekwa na shemela shululu
Natafuta nini tena jamanNko poa mm mke mweee,ila unachotafuta utakipata
Achana navyoNawaonaa baba d na mama d mnagonga like kwenye viporo navyokulaa
Teh teh teh... Nilifichwa sehem isiyojulikana na watu wasiojulikana![]()
hujapoteza marinda kweli?!Nawaona mtu na mmeweakamfate kinyerezi sijui kibaha
Atamtoa wapii sasa