Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Na me nimekuuliza mke mwee kwani hupendi kutekwa na shemela wanguMaka kauliza walipo Husna na Madame S
Na me nimekuuliza mke mwee kwani hupendi kutekwa na shemela wanguMaka kauliza walipo Husna na Madame S
Tupo sisi mama jj mwenyewe ebu niwekee picha kwanza za kina jjNawaona mtu na mmewe
Ndo upo kufukua makaburi eeeeh
Hhmm.. bora kufa mapema uzee tabu, kuanikwa juani kama mahindi ya kukobolewa nin..

KipigoNatafuta nini tena jaman
Aniteke mara ngapi tenaNa me nimekuuliza mke mwee kwani hupendi kutekwa na shemela wangu
MfyuuuuuuTupo sisi mama jj mwenyewe ebu niwekee picha kwanza za kina jj
Ila wee huaminik ww hizi labda nizipate sky news ila wee wa global publishers hamna maana.. warongoo![]()
![]()

Wakunipiga mimi ni baba d tu pekeeKipigo
Niwekee jaman mke mwee nimewamiss mimiMfyuuuuuu
Weye tena..
Nauliza nani kama husna muba.. (mzee yusuphuz voice)

NothingNin sasa..
Uzee unakunyemeleaaDah.. mwaka unakata roho kama masihara vile.
Uzee unapiga hodiDah.. mwaka unakata roho kama masihara vile.
Bora weye adabu yako iko mikonon.. kuliko husna aliyeisweka kwenye visigino..
