Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Uko vizur kumbe mama unamsingiziaMnapiga show ya kibabe.. mnafanyana sio unamfanya
Raha kutimbana bhana n sio kutimba..
Uko vizur kumbe mama unamsingiziaMnapiga show ya kibabe.. mnafanyana sio unamfanya
Raha kutimbana bhana n sio kutimba..
Wacha ale tu ndugu yangu.. bondeni hapashindaniwi..Yaaan akikukosesha kitu ya moneytalk ntakuonaa wa ajab
Jitoee ufahamu tutakurogaaHapana
Una mpango gani sasa.. maana naona maana naona maneno yako tuuSina mpangoo huo
Yamenitoka tuu..Uko vizur kumbe mama unamsingizia
Aahh.. unantishia kurogwa.. rogeni tuuJitoee ufahamu tutakurogaa
Oya.. gentries fundi, mr mondi mwenyeweKaveli-
Na yatakutokaa kweliiYamenitoka tuu..
Oya.. gentries fundi, mr mondi mwenyewe
Huna namnaa??
Kwavile niko single na vigezo lukuki nilidhan ungenipigia debe Shem?anyway km ipo ipo tu cndio eeeh?
kumbe na wewe kaka akee unataka jaman
Ndio ushangae maka hivi ni bikra ipiii anazungumzia kwanzaNakwambia hiv, labda ana kibra lakin si bikra
We mtu anajua kuchagua mpaka mwenye mwanya..![]()
![]()
Ndio hivyo maka ujue watu wanaitana mababy hata pm hawajahi chart tunayaita mapenzi ya jukwaani watu kulana hawalani kabisa![]()
![]()
.. una uhakika shunie.

......duh, nimeota ndoto mbaya imebidi nijiulize maswali hizi ndoto nawezaje kuota ilhali maji ya TBL yamefurika melatonin haina ubishi.
Kumbe makaveli10 kaniita 'mkuu', aisee mdau mimi sio mkuu kabisa.
Kwa kuwa nimekueleza naimani sitaota ndoto mbayambaya tena za kuitwa mkuu






mkuu binamu baba
Aiseeee....hahaha ahahaha, uzuri siku hiyo VIP nilikuwa nimeishona pale kwenye kiungio. Si unakumbuka ilichanikaga wakati nakimbilia krosi kama Lunyamila, ikapanda kifuani yaaninikawa kama nimevaa bra