Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
PoaHabari zenuu Wandugu..
PoaHabari zenuu Wandugu..
Ooooh asante kwa kujaliNiliona kama umechoka sana
![]()
![]()
nawaonaga nawasomaga kimya kimya nacheeeka
sasa kiongozi wa wambea ndo huyo bibieMwenzangu lugha za watu hizoWalaa![]()
![]()
![]()
mond ni kaka yangu hapo tunaongea kinyumbani
Naanzaje kukutusi kwani mfano?!
Akuuuu ushindwe kabisa, shemeji yangu huyo kabisaaaNawaonaaa mtu na shem wakeee![]()
![]()
wanasemaga hainaga ushemeji eti
Mnaweza kutembea tu
leteni hapa niwashoneeni bure kabisaa![]()
Mshono Wa tumosa utaitwa"kiherehere kitakutokea puani"
Mshono Wa one utaitwa" we neng'eneka tu utakipata unachokitafuta"

Poa kabisaHabari zenuu Wandugu..
Uhali mpenzi![]()
![]()
sasa kiongozi wa wambea ndo huyo bibie
Teh teh teh.. ongeza siku za kuishihahahaha unanichekesha tu hapa
Miss u too shemela..Miss u shemela
Zipo za kutosha shemej.. tafuta pa kuhifadhia kabla ya kuja kuzichota.Hajambo,hope umetuletea zawadi
Ahsante shemejiKaribu sana