Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
...aunty wacha tu, leo hata mimi nimejishangaa yaani maneno hata ishirini hayafiki, nitayahesabu nijue yako mangapi. ujue nini, leo nimefanya yangu vizuri tu ila kuna shemeji yake na shetani tunafanya naye kazi sasa kaniletea za kuleta nami nikamwambia usidanganywe na macho yangu ya makengeza ukadhani sikuangalii unayonifanyia, basi tukabadilishana maneno mikono nimeitunza mfukoni maana hela zangu ndo inabidi nizilinde. mwisho kabisa kufupisha tukaelewana kiutu uzima na akaamini kabisa kumbe makengeza si ugonjwa, unaona tu bila shida hata kama unaweza kuwachanganya ukadhani unawaangalia kumbe huwaangalii wao.
Umeelewa sasa?
BH yuko wapi?

nishasahau miee