Makapuku Forum

Makapuku Forum

...aunty wacha tu, leo hata mimi nimejishangaa yaani maneno hata ishirini hayafiki, nitayahesabu nijue yako mangapi. ujue nini, leo nimefanya yangu vizuri tu ila kuna shemeji yake na shetani tunafanya naye kazi sasa kaniletea za kuleta nami nikamwambia usidanganywe na macho yangu ya makengeza ukadhani sikuangalii unayonifanyia, basi tukabadilishana maneno mikono nimeitunza mfukoni maana hela zangu ndo inabidi nizilinde. mwisho kabisa kufupisha tukaelewana kiutu uzima na akaamini kabisa kumbe makengeza si ugonjwa, unaona tu bila shida hata kama unaweza kuwachanganya ukadhani unawaangalia kumbe huwaangalii wao.

Umeelewa sasa?

BH yuko wapi?
 
....akichoka kula papa unampa nguru au unamgeuza vegetarian unamchumia mboga mboga?

...kwanza sijui nimeandika nini, hivi mnapeana nini?

giphy.gif
 
73061e935c959e33571760f8c8af4afd.jpg

Bomu la nyuklia ni bomu baya mno
Ndilo bomu linaloongoza kuwa na mlipuko mkubwa kuliko mabomu mengine
Sote tunakumbuka kilichotokea katika mji wa hiroshima Japani wakati Wamarekani walipolitumia

Mpaka leo Wajapani hawataki kujiingiza katika vita kabisa na kama taifa walisaini mkataba wa kutoiingiza nchi katika vita tangu wakati huo
Duuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom