Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu yangu mie asante sana ila sijakuzoea hivi ujue nimezoea maneno mengi nakupenda binamu


...aunty wacha tu, leo hata mimi nimejishangaa yaani maneno hata ishirini hayafiki, nitayahesabu nijue yako mangapi. ujue nini, leo nimefanya yangu vizuri tu ila kuna shemeji yake na shetani tunafanya naye kazi sasa kaniletea za kuleta nami nikamwambia usidanganywe na macho yangu ya makengeza ukadhani sikuangalii unayonifanyia, basi tukabadilishana maneno mikono nimeitunza mfukoni maana hela zangu ndo inabidi nizilinde. mwisho kabisa kufupisha tukaelewana kiutu uzima na akaamini kabisa kumbe makengeza si ugonjwa, unaona tu bila shida hata kama unaweza kuwachanganya ukadhani unawaangalia kumbe huwaangalii wao.

Umeelewa sasa?

BH yuko wapi?
 
Woyoooooooooooooooo nampa papa aseme nimpatie kampe shemela wangu mie sawa sawa mke mwee


....akichoka kula papa unampa nguru au unamgeuza vegetarian unamchumia mboga mboga?

...kwanza sijui nimeandika nini, hivi mnapeana nini?

giphy.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom