KaribuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO kwa udhamini mnono wa Madame s
Let's wait and see....
Mungu amuongozee
Asante mkuuView attachment 589296Asubuhi njema makapuku wote
Oyoooooo![]()
![]()
![]()
nimeonaaaa
Nawe pia mkuu!View attachment 589296Asubuhi njema makapuku wote
Hilo la bakulutu upo sawa, hilo la kutekwa unamjua kabisa mzoefu wa kutekwa akatekeka kiurahisi naye si mwingine bali ni mjomba wangu Leeeeeeeeee Empireeeeee (kwa sauti ya Joji Marato wa AITIVIIIIIIIIIIIIIIIII)

Wacha uongo
Kwema mkuu kumekucha kwa mapambano ya kusaka tonge!Kwema humuu ...soon UF
Binamuu unanitafuta ninii jamaan mjomba ako kalala hapa me nipo busy na jf

Morning mama la mama bila Shaka u bukher wa afya!Good morning
Amen!Hakika Mwenyezi Mungu ni mkuu kuliko yeye alieumba kila kitu anazidi kuyaokoa maisha ya kipenzi chetu tundu lisu
Asante kwa upendo wako kwangu asante kwa kuniamsha tena salama siku hii uliyoifanya mwenyewe
Asante kwa ajili ya sifa na utukufu wa jina lako
Naamini makapuku mko safi na kama hujaamka poa basi Mwenye enzi Mungu akusaidie na kukuponya
Asubuhi njema makapuku wote
Hakika Mwenyezi Mungu ni mkuu kuliko yeye alieumba kila kitu anazidi kuyaokoa maisha ya kipenzi chetu tundu lisu
Asante kwa upendo wako kwangu asante kwa kuniamsha tena salama siku hii uliyoifanya mwenyewe
Asante kwa ajili ya sifa na utukufu wa jina lako
Naamini makapuku mko safi na kama hujaamka poa basi Mwenye enzi Mungu akusaidie na kukuponya
Asubuhi njema makapuku wote

Inabidi na sisi tuanze kwenda mpendwa wa binamuWalikuwa kwenye maintavyuu ukoo