Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ushindweee binamu baba d na hizo mambo tofauti halaf tuna mgeni rafiki yetu anaitwa moneytalk


Okay, ngoja nimsalimie? Ushamwambia mimi ni mmoja wa wamiliki wa simu mpya ya Samsung Galaxy?

fbKI481.gif
 
Hakika Mwenyezi Mungu ni mkuu kuliko yeye alieumba kila kitu anazidi kuyaokoa maisha ya kipenzi chetu tundu lisu
Asante kwa upendo wako kwangu asante kwa kuniamsha tena salama siku hii uliyoifanya mwenyewe
Asante kwa ajili ya sifa na utukufu wa jina lako
Naamini makapuku mko safi na kama hujaamka poa basi Mwenye enzi Mungu akusaidie na kukuponya

Asubuhi njema makapuku wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom