Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Ushindweee binamu baba d na hizo mambo tofauti halaf tuna mgeni rafiki yetu anaitwa moneytalk
Okay, ngoja nimsalimie? Ushamwambia mimi ni mmoja wa wamiliki wa simu mpya ya Samsung Galaxy?
Ushindweee binamu baba d na hizo mambo tofauti halaf tuna mgeni rafiki yetu anaitwa moneytalk
Poor KANA kaingizwa kwenye ugomvi ambao hajui kichwa wala miguu






si ile siku ulivyomwambia kana mkaongee kule yaan pm kumbe alinote ile uzi wa msamahaKuna mtu anaitwa obe huyo ni binamu yangu me na baba d ila sasa huyo binamu ujue anamfundisha baba d wangu jamaan tabia mbaya utamzoea tu
Okay, ngoja nimsalimie? Ushamwambia mimi ni mmoja wa wamiliki wa simu mpya ya Samsung Galaxy?
![]()







mambo ya kumiliki Samsung galaxy binamu nilisahau ujue kabisa
Wewe binamu ndio master key unaniharibia mume ujue...baba D, yeye ndo master-key
mambo ya kumiliki Samsung galaxy binamu nilisahau ujue kabisa
....ujue aunty hapo ndo unakoseaga sasa, yaani kuna habari za msingi lazima wageni wako uwaambie, wasiwe wa mwisho kujua




binamu hilo la kumiliki Samsung galaxy kesho nitamwambia leo si ndio kafika jamanSafiii..kwema lakini?za wewe mamy
Miss u shemela!Nawe pia Madame s
Sante mamaNa kwako pia
Same to u babu yao!Good night madame S
Walikuwa kwenye maintavyuu ukooLeo mmeshinda wapi lakini
Na wewe umenogewa na maintavyuu
DuuSio yulewaliachana kwa matusi ujue na kashfa mbele yangu kwenye uzi wao ndio akome kuwakubali viben 10