Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Hapo nimekupata vizuri sana shemelaShemela hujaelewa nini tena jaman huyo mgeni ndio ameingia kapuku shemeji yako rafiki yetu me na tumosa tunaweza kumpa tetra shemela ili moneytalk aside mpweke
Hilo la bakulutu upo sawa, hilo la kutekwa unamjua kabisa mzoefu wa kutekwa akatekeka kiurahisi naye si mwingine bali ni mjomba wangu Leeeeeeeeee Empireeeeee (kwa sauti ya Joji Marato wa AITIVIIIIIIIIIIIIIIIII)

Ucku mwema wapendwa tuonane kesho Mungu akipenda
Karibu ukapukuni (KF) shem moneytalk![]()
![]()
![]()
kwa taarifa yako ile ndo ilikuwa bongo movie Original
Woyoooooooo shemela wangu mie asante sana jamanPata kitu hicho shemela






nyimbo ya baba d wangu mimi apa shunie anaipenda tu 





Shemela nawe kwa kuwaza bongo movie hujambo![]()
![]()
![]()
![]()





shemela acha tu jf kuna bongo movie sana aisee
Mfyuuuuu![]()
![]()
![]()
kwa taarifa yako ile ndo ilikuwa bongo movie Original





alitaka kuweka picha zako ujue na akaaga anaenda whatsapp video call kuongea na wewe ila ana hasira na KANA 



Binamuu unanitafuta ninii jamaan mjomba ako kalala hapa me nipo busy na jfHilo la bakulutu upo sawa, hilo la kutekwa unamjua kabisa mzoefu wa kutekwa akatekeka kiurahisi naye si mwingine bali ni mjomba wangu Leeeeeeeeee Empireeeeee (kwa sauti ya Joji Marato wa AITIVIIIIIIIIIIIIIIIII)
asante sana shemela nimeshakaribiaKaribu ukapukuni (KF) shem moneytalk
Ushindweee binamu baba d na hizo mambo tofauti halaf tuna mgeni rafiki yetu anaitwa moneytalk
mfyuu kama angekuwa nazo angeweka, hana picha zanguMfyuuuuualitaka kuweka picha zako ujue na akaaga anaenda whatsapp video call kuongea na wewe ila ana hasira na KANA
![]()
Poor KANA kaingizwa kwenye ugomvi ambao hajui kichwa wala miguuMfyuuuuualitaka kuweka picha zako ujue na akaaga anaenda whatsapp video call kuongea na wewe ila ana hasira na KANA
![]()
Kuna mtu anaitwa obe huyo ni binamu yangu me na baba d ila sasa huyo binamu ujue anamfundisha baba d wangu jamaan tabia mbaya utamzoea tuasante sana shemela nimeshakaribia
mfyuu kama angekuwa nazo angeweka, hana picha zangu






kakusifia sana ujue jaman





ameshaipandisha binamu