Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Vince McMahon
a85c73afbc545fe9bd3bcac8402ce513.jpg
47842eda50b678ca31b8ca12a4ef55e8.jpg
aff719fd82098f3b2ae74e6ef2e3e85e.jpg

Akiwa na Stephanie
1d6c84dafe73cc9a41d24ca84e36179e.jpg

Alizaliwa Agosti 24 mwaka 1945
Ndiye baba wa Diva wa miekeka Stephanie McMahon ambaye kwa sasa kwa wanawake hana mpinzani
Alikuwa ni mcheza miekeka nguli enzi zake licha ya kuwa na umbile la kawaida
Baada ya kustaafu akaanzisha kampuni za mieleka ambazo yeye ndiyo anazoziongoza kama CEO sasa unapomuona ulingoni kashika kipaza sauti usifikiri anauza sura pale yupo kwenye biashara zake ujue
Pia keshawahi kucheza filamu kibao tu

Ana utajiri wa USD 800 Milioni
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane Jumatatu
Mwisho
...............

Asante sana kwa top ten

Madame S
 
Muziki: Ukimya Unaopiga Kelele

Kuna kuwa kimya na kukaa kimya, haya yanatofautiana. Ngoja kwanza, usiharakie kusema mbona yote yanafanana, nani kasema. Kuwa kimya ni dhana nzima ya kujitafakari, unajitafakari tembea yako, unatafakari ufanye nini, huzungushi ulimi. yeah, huzungushi ulimi maana hata ukimpa ulimi unayempenda ulimi utaongea na huku ndo kukaa kimya na kuwa kimya ni kelele zenye sauti ya nyangumi. Huelewi, well, hatushindani kufikiri maana leo ni furahiday na always I take this delicious day very easy, and hate those making obnoxious noise na kuusumbua ukimya wangu.

Napita tu, kimya kimya, napekua usisikie kelele zangu nikiwasalimia shululu ambaye sichoki kusoma magazeti, unanianzishia siku kwa uzuri kabisa. Nakushushukuru Jimena kwa historia na wine ya Ximena bila kusahau Chi seeds (nikajua ni 'kai square'), asante Shunie kwa sala, sijakusahau Madame S , picha zinaongea sana na ndizo zimenivuta kuandika ninachoandika leo.

Asante Bitoz kwa kutia chachandu, sijakusahau husna muba sichoki kukukumbuka, Tumosa ujue safari yangu nakutegemea, Sakayo ujue Transcend leo kabamba Jukwaa kwa picha nzuri. Na Clkey , mzeewakungoa , Nyagei , Mondray , shedede , koncho77 , Mkushi wa kusi Mndali ndanyelakakomu lee empire , na wewe msomaji mnajijua kabisa bila nyinyi jukwaa hili linabaki kuwa kama majukwaa mengine tu ya kawaida. Uwepo wenu hapa unaifanya KF iwe hot na wengine kupiga miayo ya njaa kama wapishi wa hotel.

Muziki sasa; hey, sijarudi bado sema hii furahiday nimekaa naangusha mbuyu hapa kwa taratibu maana asubuhi inaanza kama jumatatu

 
Muziki: Ukimya Unaopiga Kelele

Kuna kuwa kimya na kukaa kimya, haya yanatofautiana. Ngoja kwanza, usiharakie kusema mbona yote yanafanana, nani kasema. Kuwa kimya ni dhana nzima ya kujitafakari, unajitafakari tembea yako, unatafakari ufanye nini, huzungushi ulimi. yeah, huzungushi ulimi maana hata ukimpa ulimi unayempenda ulimi utaongea na huku ndo kukaa kimya na kuwa kimya ni kelele zenye sauti ya nyangumi. Huelewi, well, hatushindani kufikiri maana leo ni furahiday na always I take this delicious day very easy, and hate those making obnoxious noise na kuusumbua ukimya wangu.

Napita tu, kimya kimya, napekua usisikie kelele zangu nikiwasalimia shululu ambaye sichoki kusoma magazeti, unanianzishia siku kwa uzuri kabisa. Nakushushukuru Jimena kwa historia na wine ya Ximena bila kusahau Chi seeds (nikajua ni 'kai square'), asante Shunie kwa sala, sijakusahau Madame S , picha zinaongea sana na ndizo zimenivuta kuandika ninachoandika leo.

Asante Bitoz kwa kutia chachandu, sijakusahau husna muba sichoki kukukumbuka, Tumosa ujue safari yangu nakutegemea, Sakayo ujue Transcend leo kabamba Jukwaa kwa picha nzuri. Na Clkey , mzeewakungoa , Nyagei , Mondray , shedede , koncho77 , Mkushi wa kusi Mndali ndanyelakakomu lee empire , na wewe msomaji mnajijua kabisa bila nyinyi jukwaa hili linabaki kuwa kama majukwaa mengine tu ya kawaida. Uwepo wenu hapa unaifanya KF iwe hot na wengine kupiga miayo ya njaa kama wapishi wa hotel.

Muziki sasa; hey, sijarudi bado sema hii furahiday nimekaa naangusha mbuyu hapa kwa taratibu maana asubuhi inaanza kama jumatatu


Asante Obe kwa kunifanya niruke matope usiku huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom