Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170816-WA0012.jpg
 
1/Koala
a865130cfe45b6e90c4e823153032226.jpg
824ec2189bd380ccb94bb682372779b0.jpg
f6076e2c03efee5642d79d2bc2a5a9dd.jpg

Sijui kwa kiswahili wanaitwaje
Ila naona tu kama vile ni dubu wadogo
Hawa wanafanana na dubu ila siyo dubu kivile
Wanapatikana barani Australia ila kumbuka tu Australia ndio nchi pekee duniani ambayo pia ni bara
Wana uwezo wa kuishi miaka 18
Hawa ndio vingozi wa kulala duniani yaani wakati wenzao wapo bize kujenga viota,kulea makonda,kuwinda na kucheza wao wapo usingizi wa pono !!!

Kwa siku hupiga usingizi masaa 22
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesgo
Mwisho
................
Duuuu anakaa macho kwa masaa mawili tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom