2/
Brown Bat
Popo ni ndege au ni mnyama ?
Mtabishana siku nzima naana jamaa ana manyonyo kama ng'ombe halafu anaruka kama kunguru
Hapa namzungumzia popo wa
kahawia sio uliowazoea wewe
Sasa ukisikia
team popo ndio uekewe kwamba ni watu wanaokuwa macho mida ya usiku kuliko mchana
Humu nfani binamu
Obe labda ndoye popo wetu
Kwa siku hulala masaa 20
....................................................................
Achana na popo kuna mnyama mwingine bwege aitwaye
Sloth yaani huyu ukimwangalia tu sura utaelewa
Kwa siku nae hulala masaa 20
.....................