Makapuku Forum

Makapuku Forum

8/Tiger
460789561cdf1714e4baf53ec34d6fc5.jpg
87371a6e1ebbbd331c69df9db74cf941.jpg
63a3115be1cbde94440a393fe1a4e58a.jpg

Wanapatikana barani Asia
Chui ni paka mkubwa yaani mnyama jamii ya paka
Sasa kama unamwogopa paka tu pifa hesabu ukikutana na chui itakuwaje
Ieleweke chui hawapo Tanzania bali kuna samaki tu wanaitwa tigerfish pia duma ndio wapo hivyo kuna tofauti kati ya duma na chui
Hawa ni wanyama wakali balaa ila pamoja na ubabe wake ni bingwa wa kulala fofofo
Ukikutana nae we chukua tu smartphone type R.I.P ili kutuepusha na usumbufu

Kwa siku hulala nasaa 15.8
.......
R.I.p nimemeet na "tiger wood"kitaani
 
7/Human Infant
bb867c40555507cbe545b5fbd255ce9f.jpg
4cf68b4e193fef5c5b52fdade72b42ad.jpg
854a521e1a65e9c137dc0311ba37be8c.jpg

Una mtoto ?
Kama unaye hata wa kuzaa kabla au nje ya ndoa hongera zako maana mtoto ni mtoto tu !!
Waswahili husema asiye na mwana aeleke jiwe hivyo kama huna ntoto kuwa mpole jibebee hata tofali
Hapa nawazungumzia watoto wachanga yaani qaliotoka kuzaliwa ,waliopo tumboni na wale wenye umri mdogo
Kwa nchi zetu hizi za kimaskini vifo vya watoto wachanga ni janga....Mungu hawanusuru
Mtoto mchanga ni mwendo wa kulia,kunya,kunyonya,kulala na kuamka tu zaidi ya gapo labda kupiga chafya na kujamba tu

Kwa siku hulala takribani masaa 16
......
hiyo kweli
 
6/Night Monkey
f2974ab05a2d9d42e02655604eaeb836.jpg
103bbb965b5a551640bd870f6653ae47.jpg
def10ad51abb98b2efab1fa3c88f8ee0.jpg

Hawa ni nyani wachawi maana wanaonekana zaidi muda wa usiku kama popo
Wanapatikana zaidi huko nchini Panama na baadhi ya nchi za Amerika ya Kusini
Waswahili husema nyani haoni kundule hivyo usiendekeze masimango kwa hawa nyani kuhusu tabia yao ya kulala ovyo wakati weewe hapo ulipo hupo kotandani na smartphone yako ....nyanyuka kwanza

Kea siku hulala masaa 17
................,.................
Zitaendelea baadaye
 
7/Human Infant
bb867c40555507cbe545b5fbd255ce9f.jpg
4cf68b4e193fef5c5b52fdade72b42ad.jpg
854a521e1a65e9c137dc0311ba37be8c.jpg

Una mtoto ?
Kama unaye hata wa kuzaa kabla au nje ya ndoa hongera zako maana mtoto ni mtoto tu !!
Waswahili husema asiye na mwana aeleke jiwe hivyo kama huna ntoto kuwa mpole jibebee hata tofali
Hapa nawazungumzia watoto wachanga yaani qaliotoka kuzaliwa ,waliopo tumboni na wale wenye umri mdogo
Kwa nchi zetu hizi za kimaskini vifo vya watoto wachanga ni janga....Mungu hawanusuru
Mtoto mchanga ni mwendo wa kulia,kunya,kunyonya,kulala na kuamka tu zaidi ya gapo labda kupiga chafya na kujamba tu

Kwa siku hulala takribani masaa 16
......
Kila siku huwa najiuliza: How did we survive as a specie hasa hapo mwanzoni mwanzoni kabla ya kugundua moto na silaha za kujilinda?
 
5/Python
f2d5f3529490e4b91696dfccfb3b48fd.jpg
4e81da519b59eb98ea34580fb9e24841.jpg
50c3a69fe97c0334ea7a16cc3af078c7.jpg

Kwa kiswahili sanofu cha TUKI ni chatu
Kuna aina za chatu zaidi ya 30
Ni jamii ya nyoka wakubwa duniani nafikiri hata Anaconda ni chatu tu ila imi sio mtaalamu wa qanyama
Chatu ni reptilia wakubwa kwa urefu
Uzito wao huweza kuwa zaidi ya Kilogramu 150
Chatu wanapatikana barani Afrika,Asia na Australia
Kwa hapa bongo wafugaji ndio wanajua zaidi tabu ya hawa chatu maana huvizia ifugo na kuimeza bila kubakisha hata kwato
Samtaimu humeza watu !!....Kama. Unakaa porini huko Singida chunga sana mwanao

Kwa siku hupiga usingizi masaa 18
.........
 
4/North American Opossum
2ab8926ef892af7929d8b7570beb5dd9.jpg
540351a562d19702c025c2ec746e6258.jpg
775449eb4beb3b377f6c31407727faf0.jpg

Opossum wanapatikana barani Amerika ya Kusini na Kaskazini
Kuna aina zaidi ya 100 za hawa wanyama
Sasa hapa nawaongekea wale wa Amerika Kaskazini kama jina lao lilivyo
Wanapatikana katika nchi za Mexico na kule kwa Mzee Donald Trump
Hawa nao wanafanana na panyaau sumgura sasa kama umezoea kuwinda sungura pori ipo siku unaweza kukutana nao na bila kujua ukaewageuza kitoweo

Kwa siku hulala masaa 18
......
 
3/Giant Armandillo
965440777608a2bf14a1f8d067048556.jpg
d77063cc25f6f7caa772c53ff97e6b37.jpg
91d12b9ea89a980ce2705d3d7e58cd80.jpg

Wanafanana na kakakuona
Wanapatikana huko Amerika ya Kusini katika nchi ya Argentina hivyo kama unabisha kamuulize Messi
Hawa ndio Armandillo pejee wakubwa walio haimaana wengine wameshatoweka kwenye uso wa dunia
Licha ya kuitwa jina lenye heshima la giant ila hawa jamaa wanalala sana hivyo bora tu wajiite weak armandillo wanatia aibu tofauti na jina lao

Kwa siku hulala masaa 18.2
............
 
2/Brown Bat
defe18d255a62f3ff1b7a0c947d5e56d.jpg
33305acda114697376b3a258a62bc93a.jpg

Popo ni ndege au ni mnyama ?
Mtabishana siku nzima naana jamaa ana manyonyo kama ng'ombe halafu anaruka kama kunguru
Hapa namzungumzia popo wa kahawia sio uliowazoea wewe
Sasa ukisikia team popo ndio uekewe kwamba ni watu wanaokuwa macho mida ya usiku kuliko mchana
Humu nfani binamu Obe labda ndoye popo wetu

Kwa siku hulala masaa 20
....................................................................
da4568dc256a697c87db2f6e974862d1.jpg

Achana na popo kuna mnyama mwingine bwege aitwaye Sloth yaani huyu ukimwangalia tu sura utaelewa

Kwa siku nae hulala masaa 20
.....................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom