Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Yani tangia nijiunge jf sijawahi kuitwa mpenzi hata bahati mbaya, yani sijui Nina nyota ya fisi mimi?
pole mpenzi,Ashiiii..nili4get I mean "pole mkuu"
Yani tangia nijiunge jf sijawahi kuitwa mpenzi hata bahati mbaya, yani sijui Nina nyota ya fisi mimi?
pole mpenzi,R.I.p nimemeet na "tiger wood"kitaani8/Tiger![]()
![]()
![]()
Wanapatikana barani Asia
Chui ni paka mkubwa yaani mnyama jamii ya paka
Sasa kama unamwogopa paka tu pifa hesabu ukikutana na chui itakuwaje
Ieleweke chui hawapo Tanzania bali kuna samaki tu wanaitwa tigerfish pia duma ndio wapo hivyo kuna tofauti kati ya duma na chui
Hawa ni wanyama wakali balaa ila pamoja na ubabe wake ni bingwa wa kulala fofofo
Ukikutana nae we chukua tu smartphone type R.I.P ili kutuepusha na usumbufu
Kwa siku hulala nasaa 15.8
.......
Genye hizooHahaa...
Hicho kicheko sasa ! I feel it my love
7/Human Infant![]()
![]()
![]()
Una mtoto ?
Kama unaye hata wa kuzaa kabla au nje ya ndoa hongera zako maana mtoto ni mtoto tu !!
Waswahili husema asiye na mwana aeleke jiwe hivyo kama huna ntoto kuwa mpole jibebee hata tofali
Hapa nawazungumzia watoto wachanga yaani qaliotoka kuzaliwa ,waliopo tumboni na wale wenye umri mdogo
Kwa nchi zetu hizi za kimaskini vifo vya watoto wachanga ni janga....Mungu hawanusuru
Mtoto mchanga ni mwendo wa kulia,kunya,kunyonya,kulala na kuamka tu zaidi ya gapo labda kupiga chafya na kujamba tu
Kwa siku hulala takribani masaa 16
......
hiyo kweli
Kila siku huwa najiuliza: How did we survive as a specie hasa hapo mwanzoni mwanzoni kabla ya kugundua moto na silaha za kujilinda?7/Human Infant![]()
![]()
![]()
Una mtoto ?
Kama unaye hata wa kuzaa kabla au nje ya ndoa hongera zako maana mtoto ni mtoto tu !!
Waswahili husema asiye na mwana aeleke jiwe hivyo kama huna ntoto kuwa mpole jibebee hata tofali
Hapa nawazungumzia watoto wachanga yaani qaliotoka kuzaliwa ,waliopo tumboni na wale wenye umri mdogo
Kwa nchi zetu hizi za kimaskini vifo vya watoto wachanga ni janga....Mungu hawanusuru
Mtoto mchanga ni mwendo wa kulia,kunya,kunyonya,kulala na kuamka tu zaidi ya gapo labda kupiga chafya na kujamba tu
Kwa siku hulala takribani masaa 16
......
![]()
![]()
![]()
pole mpenzi,
Ashiiii..nili4get I mean "pole mkuu"

mpaka nilijikuta naangalia ID yangu Maana sijaamini amini.
Yani tangia nijiunge jf sijawahi kuitwa mpenzi hata bahati mbaya, yani sijui Nina nyota ya fisi mimi?




pole jamani