Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Brown Bat
defe18d255a62f3ff1b7a0c947d5e56d.jpg
33305acda114697376b3a258a62bc93a.jpg

Popo ni ndege au ni mnyama ?
Mtabishana siku nzima naana jamaa ana manyonyo kama ng'ombe halafu anaruka kama kunguru
Hapa namzungumzia popo wa kahawia sio uliowazoea wewe
Sasa ukisikia team popo ndio uekewe kwamba ni watu wanaokuwa macho mida ya usiku kuliko mchana
Humu nfani binamu Obe labda ndoye popo wetu

Kwa siku hulala masaa 20
....................................................................
da4568dc256a697c87db2f6e974862d1.jpg

Achana na popo kuna mnyama mwingine bwege aitwaye Sloth yaani huyu ukimwangalia tu sura utaelewa

Kwa siku hulla masaa 20
.....................
Anakula kwa masaa 20??? Non stop au

Madame S
 
1/Koala
a865130cfe45b6e90c4e823153032226.jpg
824ec2189bd380ccb94bb682372779b0.jpg
f6076e2c03efee5642d79d2bc2a5a9dd.jpg

Sijui kwa kiswahili wanaitwaje
Ila naona tu kama vile ni dubu wadogo
Hawa wanafanana na dubu ila siyo dubu kivile
Wanapatikana barani Australia ila kumbuka tu Australia ndio nchi pekee duniani ambayo pia ni bara
Wana uwezo wa kuishi miaka 18
Hawa ndio vingozi wa kulala duniani yaani wakati wenzao wapo bize kujenga viota,kulea makonda,kuwinda na kucheza wao wapo usingizi wa pono !!!

Kwa siku hupiga usingizi masaa 22
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesgo
Mwisho
................
 
1/Koala
a865130cfe45b6e90c4e823153032226.jpg
824ec2189bd380ccb94bb682372779b0.jpg
f6076e2c03efee5642d79d2bc2a5a9dd.jpg

Sijui kwa kiswahili wanaitwaje
Ila naona tu kama vile ni dubu wadogo
Hawa wanafanana na dubu ila siyo dubu kivile
Wanapatikana barani Australia ila kumbuka tu Australia ndio nchi pekee duniani ambayo pia ni bara
Wana uwezo wa kuishi miaka 18
Hawa ndio vingozi wa kulala duniani yaani wakati wenzao wapo bize kujenga viota,kulea makonda,kuwinda na kucheza wao wapo usingizi wa pono !!!

Kwa siku hupiga usingizi masaa 22
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesgo
Mwisho
................
Masaa 22 wanalala wana usingizi mzuri sana asante bitoz kwa top ten

Madame S
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom