Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Anakula kwa masaa 20???2/Brown Bat![]()
![]()
Popo ni ndege au ni mnyama ?
Mtabishana siku nzima naana jamaa ana manyonyo kama ng'ombe halafu anaruka kama kunguru
Hapa namzungumzia popo wa kahawia sio uliowazoea wewe
Sasa ukisikia team popo ndio uekewe kwamba ni watu wanaokuwa macho mida ya usiku kuliko mchana
Humu nfani binamu Obe labda ndoye popo wetu
Kwa siku hulala masaa 20
....................................................................![]()
Achana na popo kuna mnyama mwingine bwege aitwaye Sloth yaani huyu ukimwangalia tu sura utaelewa
Kwa siku hulla masaa 20
.....................






Non stop auMadame S

