Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20170814_153035_999.JPG


Madame S
 
Wewe ulikula vitumbua vya lini mpaka ukasema hayo...

Mm na shunie kiukweli ni mke na mme mr ..apa nimeweka utan pemben

Kila mtu anakuja kwenye maisha ya mtu Mungu akiamua...through kapuku nimepata mke bora
Mimi kwanza nilikupongeza kwa kufunga safari kwenda lushoto na ukavumilia mazingira yale

Mke ulimpata kweli, kuhusu mimi sikusema chochote hata Madame s atanisaidia
 
Namba 8

Anonymous

Anonymous maana yake ni mtu au kitu kisichokuwa na utambulisho. Kitu kisichojulikana.

Hili ni group la hacker lilopewa jina la Digital Robin Hood . Hili group linafahamika sana kwa nembo yake ya kuvaa maski na kutabasamu.

Ni kundi ambalo limekuwa likijitangaza sana mbele ya umma na ulimwengu kwa ujumla.

Kundi hili nimefanya udukuzi na kuingilia mifumo ya computer nyingi za serikali ,FBI,CIA , paypal, Vatican, Mastercard, Sony,china ,Tunisia, Uganda, na Israel.

18800bdcaa714b0470c56c2099307e88.jpg
e7d9a9132e7a664ea5c89c0f6bac0eb6.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom