shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Aisee duhBaba D naanza hivi mashtaka ya shemela shululu kwanza amesema me na wewe tunacheza bongo movie eti mapenzi yetu yanaishia jukwaani tu naendelea tena
Aisee duhBaba D naanza hivi mashtaka ya shemela shululu kwanza amesema me na wewe tunacheza bongo movie eti mapenzi yetu yanaishia jukwaani tu naendelea tena
Shemela kuna ninachokusingizia mie jamanAisee duh
InaruhusuUsichelewe basi na hali ya hewa ya leo![]()
Shangaz wangu mwanamke ....kasema hivo shululu au ??hivi shemela shululu ana nini jana katukosea sana ujue anasema me na wewe bongo movie eti
Ebhu nambieCheka tu shemela ila me ndio nakusemea jana ulinitesa sana
Sana jaman ndio mana namwambia Baba D awahi kurudi tu kibonge wake namuhitajiInaruhusu
Amesema shemela me na wewe bongo movie mapenzi yetu yanaishia jukwaani tuShangaz wangu mwanamke ....kasema hivo shululu au ??
Baba D muulize mwenyewe sijui ata alikula niniEbhu nambie
Sijui alikula vitumbua vya wapi
Wewe ulikula vitumbua vya lini mpaka ukasema hayo...Aisee duh
Ashukuriwe bwana wa mbingu na ardhi mdumu mileleWewe ulikula vitumbua vya lini mpaka ukasema hayo...
Mm na shunie kiukweli ni mke na mme mr ..apa nimeweka utan pemben
Kila mtu anakuja kwenye maisha ya mtu Mungu akiamua...through kapuku nimepata mke bora
Mungu amusamehe hajui anayonenaAmesema shemela me na wewe bongo movie mapenzi yetu yanaishia jukwaani tu
AminaaaAshukuriwe bwana wa mbingu na ardhi mdumu milele
Madame S
Hajambo mamy kiasi
Acha tu niendelee kukupenda Baba D wanguWewe ulikula vitumbua vya lini mpaka ukasema hayo...
Mm na shunie kiukweli ni mke na mme mr ..apa nimeweka utan pemben
Kila mtu anakuja kwenye maisha ya mtu Mungu akiamua...through kapuku nimepata mke bora



Ameen dear asante sanaAshukuriwe bwana wa mbingu na ardhi mdumu milele
Madame S
Ni kweli Baba DMungu amusamehe hajui anayonena
Anauoga tu yaan anaogopa ogopa tuShida ni nini? Mungu atam afu atapona
Madame S