Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
HalotelKwa no ipiiii
HalotelKwa no ipiiii
Obe..Nawatakia usiku mwema wadau wa nguvu.
Madame naomba nije inbox kwako ...Hahahaha
Madame S
Na wewe pia mkuu..Usiku mwema ndugu zangu..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Ndio mimi apa jaman kuna mwenye tatizo hukoMama'a vifungu
Tycoon MAKAVELI Jr.
Pouwa...Hebu jaribu kugugo bana
Madame S
Binamu habari yakoo hiyo project yako haujamaliza tuNawatakia usiku mwema wadau wa nguvu.
Poa mkuu soon i 'll be there ndugu yangu..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Leo mbona mapema hivyoUsiku mwema ndugu zangu..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Yako weweHalotel
Usisahau kuniletea hao kuku makaPoa mkuu soon i 'll be there ndugu yangu..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Asante shunieZABURI 91
1.Aketiye mahali pa siri pake,Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.
2.NitasemaBWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu,Mungu wangu nitakayemtumaini
3.Maana yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji na katika tauni iharibuyo.
4.Kwa manyoya yake atakufunika,Chini ya mbawa zake utapata kimbilio,Uaminifu wake ni ngao na kigao,
i5.Hutaogopa hofu ya usiku,wala mshale urukao mchana,
6.Wala tauni ipitayo gizani,wala uele uharibuo adhuhuri.
MUWE NA USIKU MWEMA MLINDWE NA DAMU YA YESU![]()
![]()
Barikiwa sana TAsante shunie
Mimi nina Halotel, TTCL , Tigo na Voda..Yako wewe
Mkuu ushindi wa mech moja unaweweseka hiv ..je ukichukua ubingwa hali yako itakuwaje? ??Zitapota mechi 10 wimbo wao uleule eti Ligi bado mbichi wakati hata nguo tu kukauka mwisho jioni
![]()
![]()
.
Tukutane kesho
.......
Tunatoka Jf kabisaaMkuu ushindi wa mech moja unaweweseka hiv ..je ukichukua ubingwa hali yako itakuwaje? ??
Pouwa mkuu..