Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Madam..
Naona leo unashusha nondo tuu...
Tuweke na bango za kishwahili basi...
Si unajua yai halipandi sana...




sina
Madame S
Madam..
Naona leo unashusha nondo tuu...
Tuweke na bango za kishwahili basi...
Si unajua yai halipandi sana...




sina
Napasikiaga hapo naskia kuna kuku achaTabora mjini,
Kuna mahali wanauza sana kuku wa kienyeji,
Police Mess hapa..
Niko Tabora kweli...!
HahahahaShemeji leo umetisha
Labda na wewe Manchester msenzetu
Hapa namalizia glass ya togwa
![]()
![]()
![]()
.....
......




Kaah! Ndio unasema je sasa hapo?
Hawa kuku wanawaita Abuja...Napasikiaga hapo naskia kuna kuku acha
T kasema uweke na za kiswahili eti