Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hahaaaa....Wooooozaaaaa
Hahaaaa....Wooooozaaaaa
Ipo kwa KimarioBitoz..
Mkuu hakuna ambulance sasa hivi lakini...
Utaua watu !![]()
Karibu mkuu
Ahahhah na we T umeliona hiloAkujibu niite...
Hiyo upo taboraUnaguna nini sasa?
Mbona huwa anaweka za kiswahiliMadam..
Naona leo unashusha nondo tuu...
Tuweke na bango za kishwahili basi...
Si unajua yai halipandi sana...
HahaaaaNamjua huyu anauza samaki wa kukaanga pale Feri
![]()
![]()
![]()
.....



Nipo mwenyewe T hakuna kazi yoyoteKoh koh koh koh...!
Kazi njema...
Man u kama simba ujue TWacha waendeele kuongea tuu! Ila this season man u wako hot..
Ndio mana nimemuuliza kama ile au ya kudownload hiyoLeo nimeamua kuvunja mzizi wa Fitina..![]()
Rashford ni wembe...! Yaani beki za pembeni zinapoteza muda kumfata..Lukaku yupo vizuri
Rashford bado ana gonjwa sugu la kukosa magoli
Ila leo Rashford kajitahidi
....
Afu sijui hata kaenda wapi?Ahahhah na we T umeliona hilo
Tukutane kesho mdauRashford ni wembe...! Yaani beki za pembeni zinapoteza muda kumfata..
Akiwapiga chenga zake zile kama za perisic ! Mara anajaza majalo kwa Luka-magoli
Tabora mjini,Tabora sehem gani mkuu!?
Tycoon MAKAVELI Jr.
Niko Tabora kweli...!Hiyo upo tabora
Hivi kweli aumwe asiniambie huko aje kulia kapukuAfu sijui hata kaenda wapi?


alikua anakudekea ujue sasa hivi ameshalala
Usiku mwema na wewe mkumbatie wifi vizuriTukutane kesho mdau
Ngoja niwaache na Shunie
Muwe na usiku mwema
.......