Mwakaaaaaaaaaaa?Daah hata mwaka nakaa Baba D mwenyewe ndio hivyo leo yupo kesho hayupo
Nabisha....
Mwakaaaaaaaaaaa?
Unakunywa mafuta ya Taa nini?
Pouwa kaka Bitoz..Tukutane kesho mdau
Ngoja niwaache na Shunie
Muwe na usiku mwema
.......
Poa mkuu soon i 'll be there ndugu yangu..Tabora mjini,
Kuna mahali wanauza sana kuku wa kienyeji,
Police Mess hapa..
Niko Tabora kweli...!
ZABURI 91

Hebu jaribu kugugo banaKaah! Ndio unasema je sasa hapo?
Au umenishushua?
Naongea na wewe shunieMaka unaongea na mimi shunii au unaongea na simu![]()
Maka unaongea na mimi shunii au unaongea na simu![]()
Kaa hvyo hvyo, usimjue vizur..Wallah simjui mie ndio naniii
Naongea na wewe shunie
Tycoon MAKAVELI Jr.
![]()
![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Kaa hvyo hvyo, usimjue vizur..
Tycoon MAKAVELI Jr.

Anakuchosha ujueHebu jaribu kugugo bana
Madame S
Mama'a vifunguZABURI 91
1.Aketiye mahali pa siri pake,Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.
2.NitasemaBWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu,Mungu wangu nitakayemtumaini
3.Maana yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji na katika tauni iharibuyo.
4.Kwa manyoya yake atakufunika,Chini ya mbawa zake utapata kimbilio,Uaminifu wake ni ngao na kigao,
i5.Hutaogopa hofu ya usiku,wala mshale urukao mchana,
6.Wala tauni ipitayo gizani,wala uele uharibuo adhuhuri.
MUWE NA USIKU MWEMA MLINDWE NA DAMU YA YESU![]()
![]()