Makapuku Forum

Makapuku Forum

International Left-Handers Day.

Namba 7.


Left handers wengi wana patwa na Hasira mapema.


Linapotokea swala la kutokuelewa watumiaji wa mkono wa kushoto ni wepesi wa kupatwa na hasira.Tafiti nyingi zinaonesha left-handed wanakuwa too emotional, mara nyingi wanakuwa na negative emotional na hii inatokana na watu hawa kuwa na pande zote za akili kufanya kazi kwa kushirikishana tofauti na watumiaji wa mkono wa kulia.

mara nyingi mabmbo ya yanayoratibiwa na ubongo wa kushoto kufanywa na ubungo wa kulia, yale ya kulia nayo yanaratibiwa na ubongo wa kushoto.

Same to you kwa baby wako
 
Ahsante mdau
Hata home yupo left hander
Nakumbuka utotoni alikuwa anachezea bakora balaa kisa anakula na kusalimia kwa mkono wa kushoto
Matokeo yake akajilazimisha kutumia yote now anachanganya tu mokono na tumemzoea yaani mikono yake yote inapiga kazi
Ni faida !!!
.......
Aisee...

Hiyo mambo ya kuchapwa nilichapwa sana...! Ila ikashindikana..! Matokea yake natumia left kila kitu ila kurusha jiwe ni mkono wa kulia..

Chakula nakula na mkono wowote ! Utakaoanza Twende kazi .

Ila sishauri kuchapa watoto wakitumia left.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom