Makapuku Forum

Makapuku Forum

International Left-Handers Day.

Namba 7.


Left handers wengi wana patwa na Hasira mapema.


Linapotokea swala la kutokuelewa watumiaji wa mkono wa kushoto ni wepesi wa kupatwa na hasira.Tafiti nyingi zinaonesha left-handed wanakuwa too emotional, mara nyingi wanakuwa na negative emotional na hii inatokana na watu hawa kuwa na pande zote za akili kufanya kazi kwa kushirikishana tofauti na watumiaji wa mkono wa kulia.

mara nyingi mabmbo ya yanayoratibiwa na ubongo wa kushoto kufanywa na ubungo wa kulia, yale ya kulia nayo yanaratibiwa na ubongo wa kushoto.

 

Attachments

  • t.jpg
    t.jpg
    22 KB · Views: 16
  • 11.jpg
    11.jpg
    9.6 KB · Views: 17
  • binladen_16.jpg
    binladen_16.jpg
    8.6 KB · Views: 14
  • r.jpg
    r.jpg
    9 KB · Views: 23
International Left-Handers Day.

Namba 7.


Left handers wengi wana patwa na Hasira mapema.


Linapotokea swala la kutokuelewa watumiaji wa mkono wa kushoto ni wepesi wa kupatwa na hasira.Tafiti nyingi zinaonesha left-handed wanakuwa too emotional, mara nyingi wanakuwa na negative emotional na hii inatokana na watu hawa kuwa na pande zote za akili kufanya kazi kwa kushirikishana tofauti na watumiaji wa mkono wa kulia.

mara nyingi mabmbo ya yanayoratibiwa na ubongo wa kushoto kufanywa na ubungo wa kulia, yale ya kulia nayo yanaratibiwa na ubongo wa kushoto.

Kweliiii kabisa
 
International Left-Handers Day.

Namba 8.


Left handers watoto huwa wanaonesha dalili wakiwa wadogo.


Watoto wengi wakati wakiwa wadogo huwa wanaonyesha kabisa kuwa watakuwa lefties ama rights japo ni vigumu kugundua, ila wataalumu wa ukuaji wa watoto wanadai haya mambo yanafanyika katika mwezi wa 2 au wa 3 wa kutungwa kwa mimba, mara nyingi ni week ya 8 na ya 9.

Ukitaka kulijua hili baada ya mtot kuzaliwa mlaze chini, watoto wanaogeuza kichwa upande wa kulia mara nyingi huwa ni right-handed wakati wale wanaogeuza kichwa kushoto wengi huwa wanakuwa left handed. Hii inatokea mara chache sana na ni vigumu wakati mwingine kugundua hasa pale mtoto anapokuwa atatumia mkono wa kushoto kufanya mambo fulani tuu na mkono wa kulia kufanya mambo mengine.

Sasa wale wazazi ambao mnakuwa manachapa watoto mikono pale wanapotumia mkono wa kushoto huwa manakosea, hasa wakati wa kula, sometimes its gene-based issues ila pia wanaotumia left kwa kujifunza.

 

Attachments

  • 11.jpg
    11.jpg
    6.9 KB · Views: 16
  • binladen_16.jpg
    binladen_16.jpg
    7.3 KB · Views: 16
  • d58f346f932eea4e7efea8d73c4570ec0f90984a.jpeg
    d58f346f932eea4e7efea8d73c4570ec0f90984a.jpeg
    17 KB · Views: 19
  • g.jpg
    g.jpg
    6.1 KB · Views: 19
  • 6.jpg
    6.jpg
    7.1 KB · Views: 16

Similar Discussions

Back
Top Bottom