GJHariohay
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,041
- 1,161
Aiseee salaam kila ukiingiaMko poa...
Pepsi jeHeinken kama divai tu dada mara moja kwa mwaka fanta ndio mara nyingi
Abeeeh shem jamanShem
International Left-Handers Day.
Namba 9.
Hapa nataja watu maarufu ambao ni left handed walio hai ambao hatupo nao leo.
1. Barack Obama
2. Harry S. Truman
3.Osama bin laden
4. Oprah wifrey
5.Justin beiber
6.Uhuru kenyatta
7. Lady Gaga
8. Eminem
9. Angelina Jolie
10. Sir Isaac Newton
11.Prince William
12.Robert Niro
13.Keanu Reeves
14.Nicole kidman
15.Bill Clinton
16. Bruce Willis
17.Tom Cruise
18. Freeman Morgan
19. Demi Moore
20. Prince Charles
21. Celine Dion
22. Bill gate
23. Drew Carey
24.Jamie Carey
25. Transcend
Mpangilio huu unaweza kupangwa vyovoyte, ongeza ambae amesahaulika manake wako wengi sana bado.
asanteni sana tuona tena mwaka ujao tarehe kama leo.
Kwetu upo ulipo shemela auShemela kwenu mbali sana
Wengi wapo hivyo hutumia yoteAisee...
Hiyo mambo ya kuchapwa nilichapwa sana...! Ila ikashindikana..! Matokea yake natumia left kila kitu ila kurusha jiwe ni mkono wa kulia..![]()
Chakula nakula na mkono wowote ! Utakaoanza Twende kazi.
Ila sishauri kuchapa watoto wakitumia left.
Aisee, au TVHapana dada ujue nipo urafiki uwanjani hapa kiwango kipo arudi tu jaman
Shemela umenichochea sana hivi me na wewe hizi mambo zimeanza liniNimechochea nini shemela wangu wa ukweli
Taratibu mkuu, usimfananishe mume wangu na vitu vya kipuuzi# 25 ana umaarufu gani?
Kazidiwa hata na muosha rungu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Ewaaaa huo huo TGB 32?![]()
MmhMimi mwanajeshi eti
Divai ndio haifananishwi na vitu vya kijingaUsifananishe fanta na vitu vya kijinga
Kweli shemela namuona tuHaaaaahaaaa
Mmmmh
Do not consider me..
Kama mashauziKibonge kama nani!?
Tycoon MAKAVELI Jr.
Thanx Sana mkuu!What
Hongera...!
HahahaMimi mwanajeshi eti
Saa ingine ni kazi sana...!Wengi wapo hivyo hutumia yote
Siku nilipovunjika wa kulia na kushindwa kuandika ndio nikajua faida yenu mnayoipata left handed
Ni faida
.....

