shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Enzi hizo wewe uko usambaaniHiyo morogoro road haina lami nimewaza tu sijui utakuwa kahenga ka mwaka gani
Enzi hizo wewe uko usambaaniHiyo morogoro road haina lami nimewaza tu sijui utakuwa kahenga ka mwaka gani
Anahisi papuchiSijui jamankwani we unahisi nini
Me born here here shemela sijaja na fuso ujueEnzi hizo wewe uko usambaani
PM gani mkuu prime minister au post meridiem..Sio labda
Mi huwa nawaonaga sana tu ila hi a simfuatilii mtu
Uswahiba wamgu na mtu unaishia kwenye hii thread(wachache sana nawafahamiana nao humu Jf) ila humu Jf kila mtu na mambo zake ndio maana nimekushauri kama una ishu nao watafute PM utawapata
![]()
![]()
![]()
....
sina utaratibu wa kumuibukia mtu huko.. yote yanaishia hapa labda iwe ishu siriaz saana
Hiyo avatar shemeji ibadilishe, rudisha ile ile, ni maoni yangu tu
MhhUsijali shem
Nitaiondoa, nimefua lile lemba halijakauka
Uende na kanisan.. sio kaz kutoa vifungu tu.. km mjomba tundu lissu vile![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.

Na mimi je nimrudishe wa mwanzoHiyo avatar shemeji ibadilishe, rudisha ile ile, ni maoni yangu tu

Wewe tena na akili zako mshazali, sijui pembe3 pacha hiz.. nani alikuambia nmehis papuchi.. kaone vile..Anahisi papuchi
Uje shemela wewe nahisi kama sio kule kanyigo basi usambaani ujue hisia zangu naziamini sanaKachomekea tu huyo mpemba![]()
![]()
Teh teh teh...Usijali shem
Nitaiondoa, nimefua lile lemba halijakauka
Mtandao ulikuwa vibaya nadhaniHapana mzeewakungoa
Ndio najiandaa hapa shemela hivi nakosajeUnaenda na wewe shemela
Nalifahamu hilo pole sana shemelaNiko poa kabisa mama D,huku baridi ipo
Wote wote shemela ila wa mwanza ndio sanaWa kigoma au mwanza
Umeulizwa.. kwan shululu hajaiona yako.. kah.. mtoto una kisebu sebu na kiroho papo..Na mimi je nimrudishe wa mwanzo![]()