Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sio labda
Mi huwa nawaonaga sana tu ila hi a simfuatilii mtu
Uswahiba wamgu na mtu unaishia kwenye hii thread(wachache sana nawafahamiana nao humu Jf) ila humu Jf kila mtu na mambo zake ndio maana nimekushauri kama una ishu nao watafute PM utawapata

....
PM gani mkuu prime minister au post meridiem.. sina utaratibu wa kumuibukia mtu huko.. yote yanaishia hapa labda iwe ishu siriaz saana


Kama wapo humu humu sawa hamna tatzo.. mie nlijua hawamo kabsa.



Tycoon MAKAVELI Jr.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom