Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Du jamaa gomvi hiliAlisahau au alijisahaulisha..![]()
![]()
Maana yule nae yumo, chakubimbi 1st class.
Tycoon MAKAVELI Jr.
Du jamaa gomvi hiliAlisahau au alijisahaulisha..![]()
![]()
Maana yule nae yumo, chakubimbi 1st class.
Tycoon MAKAVELI Jr.
Mpaka tozi.. kweli husna togwa la ngomani aisee![]()
![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.

Umesema gomvi au govi.. sijasikia vzur..Du jamaa gomvi hili
Niko poa kabisa mama D,huku baridi ipoShemela umeamkaje baba jj vipi baridi huko
Musso ana majukumuDah.. umentajia mtuu, mie mwenyewe namsaka jonax, briz na quigley... mjomba mussolin5 aliaga wakat mie bado nipo mtamboni..
Nmewamc sana hawa watuu
Briz ndugu yangu jimena anakutafuta
Sweetiepie
Jonax mpiga tonye maarufu, nadhan kamrithisha tozi, ila still tunakusaka
Quigley mc u broo
Mussolin5 nmekumc mnoo broo
Popote mlipo jua nawakubali kichiz ndugu zangu![]()
![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Unaenda na wewe shemelaHuu mkutano huu leo sijui itakuaje
Shemej yako alikuwa anakuchimba swahiba.. yeye na yule mwenzie kizabizabina husna muba..Morning shemela wa mimi apa
Huu uchaguzi sikuuelewa kabisaHongera zake karia nilijua mayai angeshinda
Labda la sekondariMusso ana majukumu
Sweet ana majukumu pia
Briz labda anatumia ID nyingine siku hizi......ni jambo la kawaida tu
Hao wengine wite wapo humuhumu Jf karibu kila siku kama una jambo la msingi nao watafute PM
......
Hashindwi yule..
Tycoon MAKAVELI Jr.
hawezi banaa zikimpanda mi nazitulizaPamoja sana mdauAhsante mdau
........
Weye tena thuupu.. hushindwi.![]()
![]()
hawezi banaa zikimpanda mi nazituliza
Sio labdaLabda la sekondari
Tycoon MAKAVELI Jr.
AmenNeno la leo
Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani. Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.
Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu. Msimlipe mtu ye yote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote. Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.
Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.” Badala yake: “Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mnyweshe. Maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.” Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.
Warumi 12:14-21
MUWE NA JUMAPILI ILIYO NJEMA NA ASUBUHI NJEMA MBARIKIWE SANA![]()
![]()
AsanteHabarini za asubuhi.. Habarini za Jumapili... Naamini mmeamka salama wote..
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo, hali ulonayo ni mpango wa aliye juu, mtukuze Mungu ukiwa u hai. Acha kulia, acha kulalamika, acha kuhuzunika Mungu anaenda kukutatulia yote..... Mungu Wangu hajawahi kushindwa, yeye anashughulika na kila kitu.... La mnoo ni kumshukuru kwa kila hali...
Mungu wangu awape haja ya mioyo yenu
Hiyo avatar shemeji ibadilishe, rudisha ile ile, ni maoni yangu tuHakika
Wamtumainiao Bwana ni kama mlima Sayuni...
MorningMorning fellowz
Usijali shemHiyo avatar shemeji ibadilishe, rudisha ile ile, ni maoni yangu tu