mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Mi Nimeamka salama mjukuu wanguNamshkuru Mungu nimeamka salama hofu kwako tu babu
Mi Nimeamka salama mjukuu wanguNamshkuru Mungu nimeamka salama hofu kwako tu babu
Anajitoa ufaham.. anadhan hatujui km nyangema nae kawekaSi wewe huyo ndio wifi yetu
Aku.. mama kanikataza michezo mibayaZamu ya makaveli
Ndio misosi yetu, wacha wao wale mapizza yao, na maharmonize (mayonise) yao... sis tunakandika tu ugali mwana wane..
Tycoon MAKAVELI Jr.
mapiza yao tuwaachie wa ushuani
Anajitoa ufaham.. anadhan hatujui km nyangema nae kaweka![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.



na pochi alisahauBongo mizengwe mingi..Huu mkutano huu leo sijui itakuaje
Ndio michezo ipi tena hiyoAku.. mama kanikataza michezo mibaya![]()
![]()
![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Amin, rabil'allahmin..Habarini za asubuhi.. Habarini za Jumapili... Naamini mmeamka salama wote..
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo, hali ulonayo ni mpango wa aliye juu, mtukuze Mungu ukiwa u hai. Acha kulia, acha kulalamika, acha kuhuzunika Mungu anaenda kukutatulia yote..... Mungu Wangu hajawahi kushindwa, yeye anashughulika na kila kitu.... La mnoo ni kumshukuru kwa kila hali...
Mungu wangu awape haja ya mioyo yenu
Kweli kabisaBongo mizengwe mingi..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Uende na kanisan.. sio kaz kutoa vifungu tu.. km mjomba tundu lissu vileNeno la leo
Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani. Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.
Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu. Msimlipe mtu ye yote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote. Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.
Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.” Badala yake: “Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mnyweshe. Maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.” Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.
Warumi 12:14-21
MUWE NA JUMAPILI ILIYO NJEMA NA ASUBUHI NJEMA MBARIKIWE SANA![]()
![]()
Bongo bahat mbayaWenye mpira wao wasaamua
Hawataki mabadiliko
Kilichoanyika ni sawa na kumuonoa Magu halafu Bashite achukue nhi(wamemreplaceRais kwa kumweka M/Rais) sasa hapo mambo ni yaleyale na upigaji ni uleule na kichwa cha mwendawazimu kitakuwa kilekile
![]()
![]()
![]()
....
Nipo njiani narudi ujueUende na kanisan.. sio kaz kutoa vifungu tu.. km mjomba tundu lissu vile![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Nmeamka kwa kufumbua macho..Umeamkaje jaman maka
Namshukuru Mungu sana nimeamka salamaNmeamka kwa kufumbua macho..![]()
![]()
![]()
![]()
Salama tu ndugu yangu, sijui wewe umeamkaje dada.
Tycoon MAKAVELI Jr.
Mkongweeee!! Nmeshakula chumv kontena kama 12 hv..Hiyo morogoro road haina lami nimewazw tu sijui utakuwa kahenga ka mwaka gani