Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Wazima za wewe
Wazima za wewe
Acha kabisa maka hapana jamaan![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
huyu makaveli ni hataree
Umesahau maka na ugali dagaaUgali kwa matembele ndio safi, na si ugali tembele wala ugali matembele..
Ila c wajua lugha za vijana mzee![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Aahh.. ndio maana, nikawa najiuliza mbona huyu binti mswahili mnoo. Upashukunu umemjA tele km pishi la mchele kumbe ni mbagala 1..![]()
![]()
![]()
Bas we jiran yangu... siku nikipita mbagala nikakabwa na kiu hata siingi gharama ya kununuA maji.. nakuja kwenu unanipa jagi najipigia, na ya ziada nabeba![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.




tena maji ya kutoka kwenye mtungi jaman maji yakiwekwa mule ya baridiiii
Shemela umeamkaje baba jj vipi baridi hukoZa asubuhi makapuku wote, natumaini tumeamka salama
Si wewe huyo ndio wifi yetu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wifi!!!!
Zamu ya makaveli![]()
Tozi nae kapita.. obe nae kapita..
Zamu ya nani leooo .......![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Huu mkutano huu leo sijui itakuajeView attachment 564432MICHEZO BURUDANI NA UDAKU
HmmWote wote wake
Hongera zake karia nilijua mayai angeshinda
Mh kumbe shemela shululu ni mgosiZa asubui ni njema Mgosi habai za uko lushoto?

Namshkuru Mungu nimeamka salama hofu kwako tu babuMarhabbaaa mjukuu wangu... Umeamka salama wewe?
Ahsante mdauView attachment 564462Nawatakieni wote jumapili njema
Wenye mpira wao wasaamuaHongera zake karia nilijua mayai angeshinda

Ameen Mungu ni mwaminifu kwa kweliHabarini za asubuhi.. Habarini za Jumapili... Naamini mmeamka salama wote..
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo, hali ulonayo ni mpango wa aliye juu, mtukuze Mungu ukiwa u hai. Acha kulia, acha kulalamika, acha kuhuzunika Mungu anaenda kukutatulia yote..... Mungu Wangu hajawahi kushindwa, yeye anashughulika na kila kitu.... La mnoo ni kumshukuru kwa kila hali...
Mungu wangu awape haja ya mioyo yenu
Ngoja tuone itakavyokua ila mayai masikiniWenye mpira wao wasaamua
Hawataki mabadiliko
Kilichoanyika ni sawa na kumuonoa Magu halafu Bashite achukue nhi(wamemreplaceRais kwa kumweka M/Rais) sasa hapo mambo ni yaleyale na upigaji ni uleule na kichwa cha mwendawazimu kitakuwa kilekile
![]()
![]()
![]()
....
AmenNeno la leo
Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani. Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.
Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu. Msimlipe mtu ye yote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote. Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.
Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.” Badala yake: “Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mnyweshe. Maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.” Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.
Warumi 12:14-21
MUWE NA JUMAPILI ILIYO NJEMA NA ASUBUHI NJEMA MBARIKIWE SANA![]()
![]()