Makapuku Forum

Makaveli asante jamaan
umeongea vitu vimeniingia sana umenipa nguvu Mungu azidi kukubariki
 
Kikubwa ni kumuweka Mungu mbele tu maka ye ndio anajua mtu aliyekupa ila ujue Mungu huwa analipa sana unachomfanyia mwenzio ipo siku tu kitakurudia utapata mtu wewe unampenda yeye hana time na wewe kabisa
What goz aroud comes aroud hyo huwa inatokea, wakat mwingine isitokee, kikubwa ukishamove on ndio basi yena ule msemo wa imetoka ikirud pancha unachukua nafas yake..

Mungu nae wa ajabu mtu anaweza akakukosea n still akazid kufanikiwa, muhimu we mfute moyon.. chochote kinachotokea kwake wewe kwako kiwe sifur apate akose, still si kitu kwako..
 
Kweli kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…