Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Atakuwa ana nyota ya bundi huyoWewe mtotongwa wa Obe.... Una bahati fulani inakunyemelea.... Mume wa kwanza alikuwa Mchawi ukamwacha.. Huyu naye anapenda kwenda kwa waganga... Sijui itakuwaje

Atakuwa ana nyota ya bundi huyoWewe mtotongwa wa Obe.... Una bahati fulani inakunyemelea.... Mume wa kwanza alikuwa Mchawi ukamwacha.. Huyu naye anapenda kwenda kwa waganga... Sijui itakuwaje

Eehh.. unalia mamii, poyee eeh, sirudii tena, we sik chakubimbi, chakubimbi ni husna huyo na uzaramu wake.. kwanza nan huyo anakuita chakubimbi, mwambie ntamchapa sawa eehh kipenz changu..Mh![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Madame S
Kwani we hapo hauna kiooo? Basi jicheki kwa kujiselfishaSasa mie najionaje kalete kioo bas
Hua ninashukuru Mungu kwa kila jamboOooh! Shukuru Mungu..





Hutongozwi nn
Eehh.. unalia mamii, poyee eeh, sirudii tena, we sik chakubimbi, chakubimbi ni husna huyo na uzaramu wake.. kwanza nan huyo anakuita chakubimbi, mwambie ntamchapa sawa eehh kipenz changu..

kipenzi chako 





Sina nna kinokia cha tochi..Kwani we hapo hauna kiooo? Basi jicheki kwa kujiselfisha
Madame S
Eehh.. kwendraaa, wasalimiekipenzi chako
Hebu mie
Madame S
Teh! NidanganyeSina nna kinokia cha tochi..
sent using my nokia ya tochi
Kweli vileee...Teh! Nidanganye
Madame S
KalagabahoHata siwasalimii
Madame S
Tatizo Hujanielewa.... Bado hujawa involved in 'love affair' umekuwa involved in 'sexual affairs' that is why.... IHv kwann uumie kwa mtu ambae ameshindwa kukujali, kukuthamin wala kukuheshimu mie naonaga uwendawazim.. mtu ashindwe kuthamin upendo unaompa halaf eti uumie..
Principle yangu kubwa sijaweka upendo mbele mie naamin sijui kupenda ila natoa nnachopata.. km atanipa upendo 100% mie ntampa same, akitoa 12 natoa 12 au chin kidogo.. 50 kwa 50, labda huyu wa 100% ndio aniumize lakin kiuhalisia hakuna wa 100 kajitahd 70 au 80.. so ukichukulia hvyo kidogo kidogo kwiva, mie mtu kadri anavyonikosea ndio thaman inashuka, nikikuta kamesej thaman inashuka halaf mie si mzungumzaji, naishia kudharau, kwahyo atakuwa anakuja napiga mbupu, tunatoka sehem mbali mbali ila mie moyon hayumo, sasa siku likitokea kubwa inakuwa si ishu sana, tayar moyon nafas yake ishakuwa finyu.. nafuta namba maisha yanasogea.. km mpira vile wa goalkick naanza moja, so hatoweza kuona chuki wala kusikia tusi kutoka kwangu thats y wengi tulioshindwana still story zipo pale pale.. anakaa kikimuwasha anakukumbuka..
Ukiyaweka sana moyon unaweza kufaa.. acha moyo usukume damu mkuu.. be brave, be strong, be positive..
Sitaki jamaniKweli vileee...
sent using my nokia ya tochi