Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii inasababibshwa na miamba ya chin kuvunjka along a fault(sudden slip on a fault), kuvunjika huku kwa ghafla, hii inasababisha seismic waves inayofanya ardhi itingishke haya mambo yanatokea kwenye miamba ya lithosphere mwamba wa chin kdogo ya uso wa dunia km km 50 mpaka 140
Duuh ayo maneno sjaelewa chochote mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khaa.. jaman simlikuwa wawili yann kuyaleta kwenye hadhar bibie..

Na tena si ungeenda tu kulala, kwan ungelala ungegeuka penis snake ama
Na yy angenyamaza asingesema km kanishindwaa


Tatizo alikataa kuchinja bata mi napendA nikienda kwake kabla ya kulala tupige supu ya bata kwanza afu mengine yafuate

By the way siri yako mkuu nina mume humu
 
Hili swali nimelichoka Jimena ...na sijui kwa nini watu wanafikiria negative... Kuna watu wanajiita muosha rungu mwengine nanaanto........nashindwa Kumalizia. Hivi hawa wanaulizwa.... Nikiulizwa na mtu mwingine ntatoa sadaka likes zangu nafungua Id mpya.
.. Sijakasirika lakini Jimena kuwa na amani full.
Babu usibadili bana tumeshalizoea hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom