Yeeah.. anafanya wala hajali maumiv yako, kadri unavyoumia yeye roho yake kwatu, tena anaweza kwenda kwa wenzake mashoga au washikaj zake na akajisifi yule demu/mshikaj kafika, kuna hiki hiki na hiki,jana kalia si mchezo..
Ushawah kumuona afande kamkamata mtu au mjeda.. vile mtu anavyohenyeka yeye kwake burudan kabsa, akikwambia simama, kaa.. ukiwa unalalamika afande nionee huruma sijui nna ngiri sijui kibofu kibov ndio kwanza anaona sifa maumv yako kwake ni sifa, ni same kwenye mapenz wapuuz wengi wasiojua maana ya mahaba ndio wanaona ujanja wenyewe..